MATHIAS KABYEMERA
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,793
- 573
- Thread starter
- #21
APUMUZIKE KWA AMANIEdie Ganzel hayupo tena Duniani, mwaka aliokufa tu ndo sikumbuki lakini siku nyingi hatunaye
APUMUZIKE KWA AMANIEdie Ganzel hayupo tena Duniani, mwaka aliokufa tu ndo sikumbuki lakini siku nyingi hatunaye
Ndiye mwenyeweHuyu ndo aliyeandika zawadi ya bwege?
Kisiwa cha Sikri alikuwa na hadithi tamu sana,nasikia alikuwa mkazi wa Mji kasoro bahariKama ni utunzi wa hadithi, namkumbuka sana Edie Ganzel. Sina uhakika kama ana uhusiano na Stanley Ganzel wa TBC ila hadithi yake ya “SIKUWA FUKARA” naikumbuka sana. Nikiona wanavyotahabika wanufaika wa serikali za awamu ya pili hadi nne, waliofutwa vyeti feki, waliotumbuliwa n.k, natamani hadithi hii ichapishwe upya.
Kisiwa cha SikriKama ni utunzi wa hadithi, namkumbuka sana Edie Ganzel. Sina uhakika kama ana uhusiano na Stanley Ganzel wa TBC ila hadithi yake ya “SIKUWA FUKARA” naikumbuka sana. Nikiona wanavyotahabika wanufaika wa serikali za awamu ya pili hadi nne, waliofutwa vyeti feki, waliotumbuliwa n.k, natamani hadithi hii ichapishwe upya.