jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 506
- Thread starter
- #41
Ni daktar mkuuDaktari? Bonta si mwalimu jama
Ni daktar mkuuDaktari? Bonta si mwalimu jama
Pia alifanya Master's of Health System Management palepale Mzumbe University, Lakini kikazi yupo Kahama Kama Katibu wa afya, ingawa wengi hawaijui hii titleBonta alisoma Bachelor of Health System Management (BHSM) Mzumbe ambayo cheo chake ni Katibu wa afya, kikazi yupo Kahama Halmashauri Kama Katibu wa afya.
Inaonekana jamaa anapenda kusoma sanaBonta alisoma Bachelor of Health System Management (BHSM) Mzumbe ambayo cheo chake ni Katibu wa afya, kikazi yupo Kahama Halmashauri Kama Katibu wa afya.
aliamishiwa hospitali ya ushetu ambayo ipo karibu na kahamaNdo wapi uko mkuu
Bonta Maarifa ni Katibu wa Afya Halmashauri ya Ushetu Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga.Huyu Mwana HipHop alitamba sana na ngoma kama Matusi, Watu Buu, Nauza Kura Yangu.
Muda sana sijamsikia kwenye gemu kwa mwenye taarifa zake wadau au ameacha mziki?
Hapana Umedanganya hapa.Yupo anasukuma gurudumu la maisha Hospitali ya Wilaya Kahama.
Baada ya kumaliza Mzumbe alihamishiwa Ushetu na kuwa Katibu wa Afya Halmashauri ya Ushetu.Huyu jamaa ni CO(Clinical officer) na sio MD kama watu wanavyodhani ama kujua,yupo Kahama hospital,mara ya mwisho nilimuona Mzumbe na baada ya kuulizia niliambiwa anafanya BHSM hapo Mzumbe,ni matumaini yangu alishamaliza na anasubiri teuzi tu
Bonta hayupo Halmashauri ya Kahama, yupo Halmashauri ya Uahetu ambayo ipo ktk Wilaya ya Kahama.Pia alifanya Master's of Health System Management palepale Mzumbe University, Lakini kikazi yupo Kahama Kama Katibu wa afya, ingawa wengi hawaijui hii title
Atakua vizuri kidogo finaciallyBaada ya kumaliza Mzumbe alihamishiwa Ushetu na kuwa Katibu wa Afya Halmashauri ya Ushetu.
Jane una msongo wa mawazoKilaza tu
BabeqWho cares?
As long as anafanya kazi hospitali sisi tunajua ni dokta tu.
Ni Katibu wa AfyaAhaa kumbe ni doctor jamaa
Alishamaliza mzumbe, yupo wilaya ya ushetu kama katibu wa afya wa wilaya, ila kama unavyojua ushetu ilivyo karibu na kahama, so amaishi kahama j3 asubuhi anaenda ushetu ijumaa anarudi kahama.Huyu jamaa ni CO(Clinical officer) na sio MD kama watu wanavyodhani ama kujua,yupo Kahama hospital,mara ya mwisho nilimuona Mzumbe na baada ya kuulizia niliambiwa anafanya BHSM hapo Mzumbe,ni matumaini yangu alishamaliza na anasubiri teuzi tu
Aseeeee ni shida ukipata ntumieMwenye wimbo wake wa 'mganga wa mtoni' anisaidie site nayoweza kuupata
nimeupataAseeeee ni shida ukipata ntumie