Kwa rank aliyokuwa amefikia hakupaswa kuishi maisha ya uvunguni..kufanya hivyo inathibitisha kabisa nafasi alizopata kutumikia serikalini alizipata kwa bahati tu..hakupaswa,haiwezekani former foreign affairs minister kwa umri alionao,hawezi kuandika makala magazetini, hawezi kuandika hata kitabu, hana connection yoyote angalau apewe mihadhara ya kitaaluma pale inapotokea nk..he s a dead wood, ni tanzania tu hata mtu asiye na sifa za kuwa kiongozi anaweza kuwa kiongozi,ndio gharama za ignorance hizo!