Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
heshima
Wakuu ilikuwa kama kihoja kwangu coz ndio mara ya kwanza kutokea; nina rafiki yangu ambaye ameoa na kama tunaishi kama ndugu; hivi majuzi alikuwa anaumwa malaria na alipata dawa mseto, kwa kweli alikuwa amezidiwa kidogo ila baada ya kupata nafuu kidogo jamaa akaomba mechi toka wife wake, wife wake hakuwa tayari kutoa mzigo akiogopa aidha kumfanya azidiwe au hata kufa na hilo lilisabishwa ugomvi kati yao na ndipo wife wake aliponipigia na kunipa mkasa mzima na kunitaka ushauri kama ampe au asimpe na je kuna madhara yoyote. kwa bahati mbaya sikuwa na jibu sahihi kwake badala yake nikaamua kumpigia rafiki yangu (mume wake) na kumwomba aachane na mpango kwani hatujui madhara yake alikubali kwa shingo upande.
Wanajamii ni nini madhara ya kufanya mapenzi wakati unaumwa? nimewahi kusikia kama unakidonda alafu ukifanya mapenzi kabla hakija poana kitachelewa kupona je, hili linaukweli wowote
Wakuu ilikuwa kama kihoja kwangu coz ndio mara ya kwanza kutokea; nina rafiki yangu ambaye ameoa na kama tunaishi kama ndugu; hivi majuzi alikuwa anaumwa malaria na alipata dawa mseto, kwa kweli alikuwa amezidiwa kidogo ila baada ya kupata nafuu kidogo jamaa akaomba mechi toka wife wake, wife wake hakuwa tayari kutoa mzigo akiogopa aidha kumfanya azidiwe au hata kufa na hilo lilisabishwa ugomvi kati yao na ndipo wife wake aliponipigia na kunipa mkasa mzima na kunitaka ushauri kama ampe au asimpe na je kuna madhara yoyote. kwa bahati mbaya sikuwa na jibu sahihi kwake badala yake nikaamua kumpigia rafiki yangu (mume wake) na kumwomba aachane na mpango kwani hatujui madhara yake alikubali kwa shingo upande.
Wanajamii ni nini madhara ya kufanya mapenzi wakati unaumwa? nimewahi kusikia kama unakidonda alafu ukifanya mapenzi kabla hakija poana kitachelewa kupona je, hili linaukweli wowote