Mke bora niyule wanyumbani pekee1. Mke anayekaa nyumbani: Huyu anajitolea muda wake wote kuhudumia familia, kulea watoto, na kuhakikisha nyumba iko sawa kila siku.
2. Mke mwajiriwa: Huyu anafanya kazi na anaingiza kipato cha kusaidia familia. Anaendelea na ndoto zake za kikazi lakini pia anajaribu kusawazisha kazi na maisha ya Familia.
3. Mke aliyeanzishiwa biashara: Huyu anapata uhuru wa kifedha huku akiwa na nafasi ya kujipangia muda wa familia.
Kwa maoni yako, yupi ni bora zaidi na kwa nini?
Naamini kila mmoja ana maoni yake,
Huyu ni bora isipo kua bodabda na vijana wahovyo wanaweza wakamla kama atajirahisisha ila ni bora sana na hana changamoto yoyote ngumu ila tuu hakikisha ukikosa hela asiwe na tamaa na awe teyari kulala njaa1. Mke anayekaa nyumbani: Huyu anajitolea muda wake wote kuhudumia familia, kulea watoto, na kuhakikisha nyumba iko sawa kila siku.
Huyu ni mwanaume mwezako ila ni mke kwa wafanyakazi wenzake na hakuna kitu utafanya hata ukigundua2. Mke mwajiriwa: Huyu anafanya kazi na anaingiza kipato cha kusaidia familia. Anaendelea na ndoto zake za kikazi lakini pia anajaribu kusawazisha kazi na maisha ya Familia.
Huyu hana tofauti na madanga yale ya high classic, akijiweza hana haja ya mwanaume na unakua siyo type yake.3. Mke aliyeanzishiwa biashara: Huyu anapata uhuru wa kifedha huku akiwa na nafasi ya kujipangia muda wa familia.
Unamaanisha nini!Na kwanini ake nyumbani yeye geti au fyrniture?
SahihiMke bora ni mwenye tabia njema
Lazima achakalie asikae nyumban nae ni mmoja wa kusababisha familia inakua na welfareUnamaanisha nini!
No nataka kuoa mke mwenye ana kazi awe ameajiliwa au kajiajili ivyo tumeans huwez kuoa Mwanamke aliajiliwa au?
Ndoa inafaida mkuu, hasa ukimpata unaeendana nae/ mnaesikilizana.. ndoa ni tamu sana ukiondoa ubinafsi kichwaniBora ni namba moja.
Hao mbili na tatu huwezi kuona faida ya ndoa hasa kama mwanaume upo vizuri kiuchumi.
Ila yote kwa yote ndoa haina faida kwa mwanaume.
Umenena vyema kabisaMke bora ni mwenye tabia njema
Hio ni falsafa ya sheytwanwanasema sikuiz maisha kusaidiana
Hapo wote ni wazuri kikubwa ni namna wewe utakavyosimamia sheria au kanuni za familia yako mlizojiwekea ili mwishowe ufurahie ndoa yako.1. Mke anayekaa nyumbani: Huyu anajitolea muda wake wote kuhudumia familia, kulea watoto, na kuhakikisha nyumba iko sawa kila siku.
2. Mke mwajiriwa: Huyu anafanya kazi na anaingiza kipato cha kusaidia familia. Anaendelea na ndoto zake za kikazi lakini pia anajaribu kusawazisha kazi na maisha ya Familia.
3. Mke aliyeanzishiwa biashara: Huyu anapata uhuru wa kifedha huku akiwa na nafasi ya kujipangia muda wa familia.
Kwa maoni yako, yupi ni bora zaidi na kwa nini?
Naamini kila mmoja ana maoni yake,
Wana chura lakini? Ili mradi wawe na chura.1. Mke anayekaa nyumbani: Huyu anajitolea muda wake wote kuhudumia familia, kulea watoto, na kuhakikisha nyumba iko sawa kila siku.
2. Mke mwajiriwa: Huyu anafanya kazi na anaingiza kipato cha kusaidia familia. Anaendelea na ndoto zake za kikazi lakini pia anajaribu kusawazisha kazi na maisha ya Familia.
3. Mke aliyeanzishiwa biashara: Huyu anapata uhuru wa kifedha huku akiwa na nafasi ya kujipangia muda wa familia.
Kwa maoni yako, yupi ni bora zaidi na kwa nini?
Naamini kila mmoja ana maoni yake,
Wakati mwingine ndoa kama ujinga fulani unajitoa Kwa mwenzio siku ya siku anakuja kukuumiza mpaka unajiuliza huyu ndama ananifanyia haya kweli ? Au nimebadilishiwa? Ila uzuri MUNGU hanaga haraka huwa anafundisha adabu hapa hapa duniani, yaani usiombe kumtendea mwenza mazuri halafu yeye akulipe mabayaWana chura lakini? Ili mradi wawe na chura.
Utasikia vijana wa mjini wanadai hivyo utadhani wanaoa chura.
Mpango wa Mungu ni namba 1.
Maadili katika jamii yameharibika baada ya wanawake wengi kuacha jukumu lao la msingi katika uumbaji la kuzaa na kulea. Wamevamia jukumu la wanaume.
Hii yaweza kuwa ni kwasababu ya wanaume kushindwa kutimiza majukumu yao na pengine tamaa ya wanawake.
Lakini kikubwa siasa imeharibu kila kitu kuingilia mfumo wa ndoa. Ndoa zimekuwa siasa badala ya kujenga ndio uharibifu unaikabili jamii.