Yupi ni mbaya zaidi kati ya anayekuroga usipate pesa na anayekuroga jogoo asisimame?

Hela muhimu sana.. yaani umaskini na nguvu za kiume nichague umaskini.

Wanawake hata kwa dildo wanaenjoy mapenz kama kuna hela.. mimba ama watoto utazaliwa kwa kupandikiza kama mengi vile
Uwe na hela halafu hupigi mechi mkuu, hizo hela huwezi zifurahia asee.
 
Nikiwa sina hela ndio nakuaga na mawazo kama yako haya mkuu.
Nikizipata huwa siwazi vitu vya hovyohovyo
 
Uwe na hela halafu hupigi mechi mkuu, hizo hela huwezi zifurahia asee.

Je Maskini wanaopiga mechi huwa wanafurahia?

Kuna msemo unasema Ngono ni starehe ya maskini . Kuna raha kibao pesa inaweza kukuletea ila uume uliodinda hauwezi kukuletea hizo raha. Maskini ndio tunajua ngono tu ni starehe kubwa

Mara kibao nimesikia mtu anajiua na kuua watoto wake sababu ya umaskini hana cha kuwalisha.

Sijawai sikia mtu anajiua sabab adindishi

Umaskini ni laana. Ndio source of all evil.

Kulala njaa ama mateso ya umaskini yasikie tu kwa mwenzako
 
Je Maskini wanaopiga mechi huwa wanafurahia?

Kuna msemo unasema Ngono ni starehe ya maskini . Kuna raha kibao pesa inaweza kukuletea . Maskini ndio tunajua ngono tu ni starehe kubwa

Mara kibao nimesikia mtu anajiua na kuua watoto wake sababu ya umaskini hana cha kuwalisha.

Sijawai sikia mtu anajiua sabab adindishi

Umaskini ni laana. Ndio source of all evil.

Kulala njaa ama mateso ya umaskini yasikie tu kwa mwenzako
Tunatofautiana mkuu, binafsi nathamini sana uanaume wangu kuliko chochote.
 
Hapo kama unataka kujenga maisha hela inahitajika, ila kama unapenda papuchi nguvu ni bora zaidi.
 
Back
Top Bottom