Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 208
- 456
Wakuu napenda kujulishwa ni mgombea yupi kutoka vyama vya upinzani aliyewahi kuichachafya CCM vibaya sana katika chaguzi kuu zilizopita tangu mfumo wa vyama vingi ulipoasisiwa 1st July,1992 kati ya wafuatao:
1: Augustine Mrema
2. Dkt. Wilbroad Slaa
3. Zitto Kabwe
4. Edward Lowassa
5. Seif Sharrif Hamad
6.Tundu Lissu
Hapa namaanisha The Greatest of all the Times(G.O.A.T).Toa na sababu
1: Augustine Mrema
2. Dkt. Wilbroad Slaa
3. Zitto Kabwe
4. Edward Lowassa
5. Seif Sharrif Hamad
6.Tundu Lissu
Hapa namaanisha The Greatest of all the Times(G.O.A.T).Toa na sababu