Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,156
- 34,344
Hongera kwa uandishi Mkuu, nimefurahi kusikia ni hadithi na sio kweli.
Maana nimekuwa balozi wa kupinga vitendo vya Ukatili kwa watoto wadogo.. ...Nyote mnajua watoto ni malaika na ni taifa la kesho. Ni muhimu tuwalinde na tuhakikishe wanakwenda shule.
Maana nimekuwa balozi wa kupinga vitendo vya Ukatili kwa watoto wadogo.. ...Nyote mnajua watoto ni malaika na ni taifa la kesho. Ni muhimu tuwalinde na tuhakikishe wanakwenda shule.