Yule Mbunge kiziwi atachangia vipi mijadala bungeni?

Yule Mbunge kiziwi atachangia vipi mijadala bungeni?

Emilio Mzena

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2023
Posts
262
Reaction score
619
Habari wakuu…

Lengo la uzi huu sio kumbananga mbunge kwa ulemavu wake. Lengo ni kuomba kufahamishwa namna ambavyo mbunge yule wa viti maalum kutokea Zanzibar ambaye ni kiziwi atakavyokuwa anashiriki mijadala bungeni na wabunge wenzake.

Maana leo nimeona clio akiapa, naona kabisa kuna tatizo sehemu, inaumiza.
 
Habari wakuu…

Lengo la uzi huu sio kumbananga mbunge kwa ulemavu wake. Lengo ni kuomba kufahamishwa namna ambavyo mbunge yule wa viti maalum kutokea Zanzibar ambaye ni kiziwi atakavyokuwa anashiriki mijadala bungeni na wabunge wenzake.

Maana leo nimeona clio akiapa, naona kabisa kuna tatizo sehemu, inaumiza.
CCM haiishiwi na vituko, labda kutakuwa na mtu wa lugha ya ishara bungeni.
 
Atatumia mkalimani wa sign language. Kwa vile kila kitu huwa kinaandikwa, anaweza pia kusoma kinachoendelea na kuchangia kwa maandishi. Ila anahitaji watu kama wawili hivi wa kumsaidia!
 
Back
Top Bottom