Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Kweli ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu. Bora uendelee kuwaogopa machangu vivyo hivyo hadi utakapowowa!!
Inaniuma sanaaaa! Leo patachimbikaaaa! ( Unless zile nguo za xmas ukatukopee woolworths! Hehhee, blackmailing timely!)
Nilishawowa kitambooo.............
Machangu wana akili kama nini.............
Nilishawowa kitambooo.............
Machangu wana akili kama nini.............
Kama umewowa, basi mtunze mkeo, achana na machangu, mwisho wake ni aibu na fedheha!!
Ukienda kwenye kiti kirefu mshike mkono mkeo, hawakusogelei hata kidogo!
Pole kaka....Ngozi ya kwenye miguu ni ngumu kwa sababu inafanya kazi za suluba!! Hope hata wewe umeshakuwa mgumu!!
Ila sasa ...pamoja na uzee wangu, mbona hili tukio kama limetokea juzi juzi tu......
Nitarudi baadaye kidogo!!
Kama umewowa, basi mtunze mkeo, achana na machangu, mwisho wake ni aibu na fedheha!!
Ukienda kwenye kiti kirefu mshike mkono mkeo, hawakusogelei hata kidogo!
Mtambuzi, je wewe ni mwandishi? Unaandika na kueleweka vizuri sana, sikuchoka kusoma stori ndefu na nilitamani iendelee
Naona kaka umeamua kumpiga kijana shule.....
Mie bado sijakubali....Hivi kweli mwaka 2000, changu wa Mwananyamala alikuwa anadai 20000 (~$50)?????
Babu DC!!
Mtambuzi, je wewe ni mwandishi? Unaandika na kueleweka vizuri sana, sikuchoka kusoma stori ndefu na nilitamani iendelee
Naona kaka umeamua kumpiga kijana shule.....
Mie bado sijakubali....Hivi kweli mwaka 2000, changu wa Mwananyamala alikuwa anadai 20000 (~$50)?????
Babu DC!!
Mkuu kama una mashaka na "rate" ya changudoa wa mwananyamala miaka kumi iliyopita, tutaomba uthibitisho toka kwako, kwamba kwa uzoefu wako ilikuwa ni bei gani! lol
Wewe unazeeka vibaya, hivi hujui miaka kumi iliyopita ni MUONGO mmoja! na hilo tukio halinihusu mie bana............