Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
-
- #101
Umesahau ya vijana 46 hao juzi waliopongezwa walikua wanafanya nini? Leo mefanya nini ya umeya? Chama chakavu banaWachakachuaji wakubwa ni nyinyi mlioandaa tume feki ya uchaguzi mkakutana na watu waliojiandaa mapema kabla yenu. Mliajiri mpaka watu wa mataifa ya nje ili mradi tu muingie ikulu, bahati mbaya sana awamu ya tano haina bajeti ya juisi wala vitafunio, mtakunywa maji ya UHAI halafu mseme shida yenu halafu mnapewa mkono wa kwaheri. Mwanahabari hizi habari tunazoendela kuzijadili hazitusaidii, mimi na wewe. Tuangalie namna gani nchi hii tunaweza kuijenga, kuliko kuishia kwenye maneno mengi ambayo hayaendani na shida zetu nyingi.
Ccm,lakini ameshaondoka na uchafu wake tunashukuru ametusaidia kutusafisha,alikua mzigo haswaAlikua waziri mkuu kupitia serekali ya chama gani
Chama chochote ambacho kinashindwa uchaguzi mara tatu mfululizo hugeuka kuwa chama cha kigaidi - Lusinde.Umesahau ya vijana 46 hao juzi waliopongezwa walikua wanafanya nini? Leo mefanya nini ya umeya? Chama chakavu bana
Kama yeye alikua Mchafu boss wake alikuaje?Ccm,lakini ameshaondoka na uchafu wake tunashukuru ametusaidia kutusafisha,alikua mzigo haswa
Na Mbacho zaidi ya Mara Tatu kinachukua ushindikimabavu aka ukurunzinza?Chama chochote ambacho kinashindwa uchaguzi mara tatu mfululizo hugeuka kuwa chama cha kigaidi - Lusinde.
Ulafi wa madaraka unakimaliza chama cha machafukoHapa kuna wagomvi wa Lowasa wa siku Nyingi tu kati yake na baadhi ya watu,hao wataalam wa kucheza na akili za watu walifanikiwa 'spinning doctors' wakawateka wapinzani na watanzania wengi kwa kuuaminisha kuwa bwana Lowasa ni mwizi na FISADI Mkuu na BWANA JK alitumia vizuri sana karata kupitia ndugu NAPE Nnauye KUBWAGA na kupoteza Lowasa kwenye Njia ya kupata urais.
Kama mnakumbuka sawasawa NAPE alitumia mkataba wa jengo la Umoja wa vijana CCM TAIFA kumsema waziwazi Lowasa ,na kipindi hicho kama Sijakosea nape aligombea nafasi ya uenyekiti wa UVCCM TAIFA akakosa.
Binafsi na ujasiri wa Lowasa kuhama CCM na kwenda Upinzani Binafsi naamin hakuna ukweli wa kile kinachosemwa na kilichosemwa.leo hii tunaambiwa Lowasa anaukwasi wa kutisha ila tukisema vitajwe hakuna mwenye ushahidi ndio maana hata CHADEMA walimpokea baada ya kugundua wale waliokua wanawapa habari kuwa Jamaa mwizi hawakua wakweli,.
Ila kuhamia Upinzani isiwe tiketi ya kuachwa kna mwizi kweli
UKAWA jipangeni, fikeni vijijini hizi siasa za kwenye jamiiforum, facebook na twitwer haziwezi kukupeni kitu chochote kipya cha maana. Huu muda mpaka 2020 utumieni kwa kuwa karibu na wananchi kadri inavyowezekana, vinginevyo mtaishia kuisoma namba, mtaishia kutimuliwa vumbi.Na Mbacho zaidi ya Mara Tatu kinachukua ushindikimabavu aka ukurunzinza?
Yule anaethubutu kusema Lowassa ni Fisadi Mpaka leo hii akapimwe akili.
Nchi hii ina Mihimili mitatu.
Raisi
Bunge
Mahakama.
Eti Pamoja na Tumbua tumbua ya Majipu na Chunusi zake bado tu Lowassa hajatumbuliwa.
Bado unasema tu Lowassa ni Fisadi?
Angekuwa CCM tungesema serikali inamlinda kwa kuwa serikali ya CCM ni serikali ya kulindana.
Lakini Pamoja na kuhama kwenda Upinzani lkn bado hajatumbuliwa tu bado? Bado unaamini Lowassa ni Fisadi?
Pamoja na Utumbuaji wa Majipu huu unaozingatia Sifa, Kick, KujikombaKomba, mihemko.
Hebu niambie ni nani ambae hapendi sifa za Kumtumbua Lowassa? Kama Fisadi Papa?
Hata JMP mwenyewe anapenda sana angeweza kupata nafasi ya kumtumbua Lowassa kama Fisadi. Lakini Utamtumbuaje mtu ambae hana Jipu?
JMP alitangaza Mahakama ya Mafisadi, Kwa jinsi Lowassa alivyokua anahubiriwa kuwa ni Fisadi nilijua Lowassa angefanya uzinduzi wa Mahakama ya Mafisadi na Kuweka historia kuwa Mtu wa Kwanza kuhukumiwa kwenye Mahakama ya Mafisadi ni E. N. Lowassa.
Bila shaka hata Magufuli anapenda sana kupata sifa ya kumtumbua mtu mkubwa.
Pamoja na JMK kutamka hadharani kuwa, washughulikiwe wale wote waliokihujumu chama. Mi nadhani kila alie madarakani sasa hivi Anatamani kushughulikia wale waliokihujumu chama na Mmoja wapo ni LOWASSA ili apate sifa na Kick.
ila swali langu ni kwamba, Utamtumbuaje mtu ambae hana jipu?
Ndo maana Nikasema kwamba ANAEAMINI MPKA LEO HII KUWA LOWASSA NI JIPU AU NI FISADI AKAPIMWE AKILI.
Bila shaka kama sio tu uwezo wa kufikiria ni Mdogo sana, Basi ni Zero kabisa.
Kusoma hujui, Hata picha huoni?
Wanaosema number ni Chadema au ccm kwa sasa? Shirikisha ubongo. Kwani uchaguzi si mlifanya figisu lakini uwalisia si mlilala doroUKAWA jipangeni, fikeni vijijini hizi siasa za kwenye jamiiforum, facebook na twitwer haziwezi kukupeni kitu chochote kipya cha maana. Huu muda mpaka 2020 utumieni kwa kuwa karibu na wananchi kadri inavyowezekana, vinginevyo mtaishia kuisoma namba, mtaishia kutimuliwa vumbi.
Lowassa ni JiziUmesahau ya vijana 46 hao juzi waliopongezwa walikua wanafanya nini? Leo mefanya nini ya umeya? Chama chakavu bana
Cc"Anae Muunga Mkono Lowassa Akapimwe Akili"
Maana Mungu amewapa mkataba na ikulu? Sasa mnafanyaga uchaguzi wa nini?Lowassa ni Jizi
Tetea ujuavyo
Na kamwe HATA MTAMBIKIE VIPI YEYE NA IKULU
ATAIONA KWENYE GAZETI LA ZUZU KUBENEA
Kwa akili timamu kabisa Lowassa hamfikii hata robo Rais Magufuli. Nyinyi baada ya kufanya kosa la kiufundi la kumchukua mtu aliyekulia CCM, mlikuwa mmeshajichimbia kaburi, mlikuwa mmeshajimaliza. Lowassa anao ujanja wa kutengeneza mitandao ya marafiki wenye fedha, anao uwezo mkubwa wa kufanya biashara lakini kwenye leadership hana uwezo kumzidi Magufuli. Hana conviction kama Magufuli, sio mfuatiliaji wa kiwango cha Magufuli. Hana uadilifu kumzidi Magufuli. Jipangeni kweli, mkitegemea huruma na zile kura za mahaba, itakula kwenu jumla, halafu mtasahaulika haraka sana.Wanaosema number ni Chadema au ccm kwa sasa? Shirikisha ubongo. Kwani uchaguzi si mlifanya figisu lakini uwalisia si mlilala doro
HahahaNaona ndio umetokea kwenye chupa za Lumumba soma comment za wenzako imeshajibiwa wewe kilamba mwiko wa Lumumba
Muulize MdeeMaana Mungu amewapa mkataba na ikulu? Sasa mnafanyaga uchaguzi wa nini?
Uwadilifu upi unaosemea? Hivi barabara zs big g nizanani? Nyumba za Serekali? Kufanya maigizo je?Kwa akili timamu kabisa Lowassa hamfikii hata robo Rais Magufuli. Nyinyi baada ya kufanya kosa la kiufundi la kumchukua mtu aliyekulia CCM, mlikuwa mmeshajichimbia kaburi, mlikuwa mmeshajimaliza. Lowassa anao ujanja wa kutengeneza mitandao ya marafiki wenye fedha, anao uwezo mkubwa wa kufanya biashara lakini kwenye leadership hana uwezo kumzidi Magufuli. Hana conviction kama Magufuli, sio mfuatiliaji wa kiwango cha Magufuli. Hana uadilifu kumzidi Magufuli. Jipangeni kweli, mkitegemea huruma na zile kura za mahaba, itakula kwenu jumla, halafu mtasahaulika haraka sana.
Hahaha
Jibu na hili
"Anae Muunga Mkono Lowassa Akapimwe Akili"
Jibu umeshaambiwaHahaha
Jibu na hili
"Anae Muunga Mkono Lowassa Akapimwe Akili"