Yule aliyeitisha vyombo vya habari kusema wakristo watakatwa vichwa mpo kimya, ila Mwandambo kuwapiga spana imani zote mnasema uchochezi wa imani

Yule aliyeitisha vyombo vya habari kusema wakristo watakatwa vichwa mpo kimya, ila Mwandambo kuwapiga spana imani zote mnasema uchochezi wa imani

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Hivi mwandambo ambaye hata waandishi wa habari hawapo yeye anapost kwenye account yake lakini mada zake unaona kutuoa elimu leo polisi wapo naye.

Haya yule ambaye alisema kukata vichwa ,jeshi limesema limemuonya hata barua hakuna wala kumuhoji.

Hizi futuhi za nchi
 
Nchi hii ni ya ajabu sana. Kuungana nao hatutaki, kuwapinga tunaogopa tumebakia kunung'unika tu!
 
Back
Top Bottom