Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,525
Hivi mwandambo ambaye hata waandishi wa habari hawapo yeye anapost kwenye account yake lakini mada zake unaona kutuoa elimu leo polisi wapo naye.
Haya yule ambaye alisema kukata vichwa ,jeshi limesema limemuonya hata barua hakuna wala kumuhoji.
Hizi futuhi za nchi
Haya yule ambaye alisema kukata vichwa ,jeshi limesema limemuonya hata barua hakuna wala kumuhoji.
Hizi futuhi za nchi