Yuko wapi Tiagi Masamaki?

Yuko wapi Tiagi Masamaki?

Bila kusahau wale jamaa wa milioni kadhaa kwa kila dakika sikuizi hakuna cha taarifa ya habari wala magazeti au ndio kusema vyombo vyetu vya habari vilirambishwa?....maana mwanzoni kila walipo pelekwa mahakamani tulijuzwa kwa tv na magazeti lakini sikuizi kimya
Wapo Jera Baba na kampuni yao ya minara inashikiliwa asaiv hali mbaya
 
Sijui hii series itaishaje,naona jambazi mkuu ni mdogo wake actor
 
"Daghaseta, post: 22223121, member: 318491"]Tiagi Masamaki ameachiwa huru leo na mahakama.[/QUOTE]
Ongezea, baada ya DPP kuliondoa shauri toka Mahakamani.
 
Back
Top Bottom