INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 1,035
- 1,441
Alikuwa ni waziri wa elimu kipindi cha JK .simsikii siku hizi anayejua anifahamishe yuko wapi
Hahaaa....yule ni mussa kawambwaYUKO WASAFI FM ANATANGAZA MICHEZO
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ila watu!!!Amesha 'wambwa' now anashukuru
Mzee alitubeba sana na mambo yake ya GPA [emoji1787]mwendo wa distinction tuAlikuwa ni waziri wa elimu kipindi cha JK .simsikii siku hizi anayejua anifahamishe yuko wapiView attachment 1548385
Jamaa falaa snaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Amesha 'wambwa' now anashukuru