Yuko wapi mzee wa mafisadi wa elimu?

Yuko wapi mzee wa mafisadi wa elimu?

Bundewe

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
400
Reaction score
141
Ni Takriban miaka mitatu imepita tangu mwanasheria na mwanaharakati Kainerugaba Msemakweli atoe Kitabu chake kilichopata umaarufu wa ghafla cha MAFISADI WA ELIMU VOL. 1 akiwataja vigogo mbalimbali serikalini kuwa ni vihiyo waliofoji vyeti au kudanganya elimu walizonazo. Pia aliahidi ku release vol. 2 baada ya muda mfupi.

Baada ya vol. 1 vigogo kadhaa waliotajwa akiwemo mbunge wa Segerea Mhe. Makongoro Mahanga walifungua kesi kortini kudai fidia ya kuchafuliwa jina. Hata hivyo mpaka sasa kimya kimetawala kuhusiana na mwenendo wa kesi zile au alipo mwanaharakati yule na harakati zake. Kiasi cha kujiuliza yupo kweli au naye ameshanyamazishwa. Iko wapi vol. 2 aliyoahidi? Au ilikua ni mbinu nyingine ya serikali kutuondoa kwenye mjadala mzito wa kitaifa?

https://www.jamiiforums.com/habari-...-kitabu-cha-mafisadi-wa-elimu-nakipataje.html
 
Ni Takriban miaka mitatu imepita tangu mwanasheria na mwanaharakati Kainerugaba Msemakweli atoe Kitabu chake kilichopata umaarufu wa ghafla cha MAFISADI WA ELIMU VOL. 1 akiwataja vigogo mbalimbali serikalini kuwa ni vihiyo waliofoji vyeti au kudanganya elimu walizonazo. Pia aliahidi ku release vol. 2 baada ya muda mfupi.

Baada ya vol. 1 vigogo kadhaa waliotajwa akiwemo mbunge wa Segerea Mhe. Makongoro Mahanga walifungua kesi kortini kudai fidia ya kuchafuliwa jina. Hata hivyo mpaka sasa kimya kimetawala kuhusiana na mwenendo wa kesi zile au alipo mwanaharakati yule na harakati zake. Kiasi cha kujiuliza yupo kweli au naye ameshanyamazishwa. Iko wapi vol. 2 aliyoahidi? Au ilikua ni mbinu nyingine ya serikali kutuondoa kwenye mjadala mzito wa kitaifa?

https://www.jamiiforums.com/habari-...-kitabu-cha-mafisadi-wa-elimu-nakipataje.html
Walishamfisidi huyu
 
Back
Top Bottom