johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,599
- Thread starter
- #41
Hahahaa....!!Naona neno nguli umelitumia mahala pasipostahili kabisa
Hahahaa....!!Naona neno nguli umelitumia mahala pasipostahili kabisa
Umewapaisha sana mkuu, watu hatari kwa Chadema ni cops na hawa wanaoitwa DED ambao huvalishwa koti la NEC kwenye chaguzi za majimboni.Wanamiliki magazeti mawili ya jamvi la habari na Tanzanite ni watu hatari kwa chadema kuliko binadamu yeyote Tanzania hii
Mwanasiasa nguli au nguru?kila siku mnashinda naye lumumba alafu unakuja kutufanya mandunya?au wewe ni wale wa dodoma?Huyu jamaa alikuwa ndio injini ya chama cha ACT wazalendo na alikuwa ndio msaidizi mkuu wa KC Zitto Kabwe. Kwa muda sasa sijamsikia pale Ujiji au ndio aliondoka na Prof Kitila!!
Alisha achana na siasa.
Nguli wa kukashifu viongozi wa upinzani alikotokeaNi lini Mchumia tumbo Mchange aliwahi kuwa Mwanasiasa nguli ?
Duuuh...ni hatari sanahabibu mchange nguli wa siasa? huyu alitumwa akatumika ni mchumia tumbo. alianza kujihusisha na siasa mwaka 2008 hivi akiwa udom..baadae akaja kuteuliwa kuwa mgombea ubunge kibaha. alishinda 2010. bwana koka akampa mpunga mwanana. akanunua fanicha na makorokoro kibao ya ndani kwenda kuanza maisha hko tabata. wenzake chadema wakimpigia hapokei .kumfuata alipo wakakuta uzunguni. lwakuwa kitila alikuwa cdm kwa kazi maalum akawa anamtumia kwenye baadhi ya kazi zake na alimplant ili awe anajua nyendo za zzk. matokeo yake baada ya uchaguzi kapewa jamvi la habar na kuanza kuwagawa watanzania kwa hoja za viroja.
Exactly... Nguli???...No, hawezi kuwa yeye....umenena vema mkuu.Naona neno nguli umelitumia mahala pasipostahili kabisa
Hatimaye amebaki historia tu, kwishney.habibu mchange nguli wa siasa? huyu alitumwa akatumika ni mchumia tumbo. alianza kujihusisha na siasa mwaka 2008 hivi akiwa udom..baadae akaja kuteuliwa kuwa mgombea ubunge kibaha. alishinda 2010. bwana koka akampa mpunga mwanana. akanunua fanicha na makorokoro kibao ya ndani kwenda kuanza maisha hko tabata. wenzake chadema wakimpigia hapokei .kumfuata alipo wakakuta uzunguni. lwakuwa kitila alikuwa cdm kwa kazi maalum akawa anamtumia kwenye baadhi ya kazi zake na alimplant ili awe anajua nyendo za zzk. matokeo yake baada ya uchaguzi kapewa jamvi la habar na kuanza kuwagawa watanzania kwa hoja za viroja.