Yuko wapi mwanasiasa nguli Habib Mchange?

Yuko wapi mwanasiasa nguli Habib Mchange?

Wanamiliki magazeti mawili ya jamvi la habari na Tanzanite ni watu hatari kwa chadema kuliko binadamu yeyote Tanzania hii
Umewapaisha sana mkuu, watu hatari kwa Chadema ni cops na hawa wanaoitwa DED ambao huvalishwa koti la NEC kwenye chaguzi za majimboni.
 
Huyu jamaa alikuwa ndio injini ya chama cha ACT wazalendo na alikuwa ndio msaidizi mkuu wa KC Zitto Kabwe. Kwa muda sasa sijamsikia pale Ujiji au ndio aliondoka na Prof Kitila!!
Mwanasiasa nguli au nguru?kila siku mnashinda naye lumumba alafu unakuja kutufanya mandunya?au wewe ni wale wa dodoma?
 
Wewe kweli nimeamini kumbe unaishabikia ccm ukiwa makutupola yaani hata hapo ofisini lumumba hujawahi kukanyaga na hawakujui maana ungekuwa unafika lumumba usinge post huo ujinga juu ya Habibu maana anashinda lumumba kila siku
Alisha achana na siasa.
 
habibu mchange nguli wa siasa? huyu alitumwa akatumika ni mchumia tumbo. alianza kujihusisha na siasa mwaka 2008 hivi akiwa udom..baadae akaja kuteuliwa kuwa mgombea ubunge kibaha. alishinda 2010. bwana koka akampa mpunga mwanana. akanunua fanicha na makorokoro kibao ya ndani kwenda kuanza maisha hko tabata. wenzake chadema wakimpigia hapokei .kumfuata alipo wakakuta uzunguni. lwakuwa kitila alikuwa cdm kwa kazi maalum akawa anamtumia kwenye baadhi ya kazi zake na alimplant ili awe anajua nyendo za zzk. matokeo yake baada ya uchaguzi kapewa jamvi la habar na kuanza kuwagawa watanzania kwa hoja za viroja.
Duuuh...ni hatari sana
 
habibu mchange nguli wa siasa? huyu alitumwa akatumika ni mchumia tumbo. alianza kujihusisha na siasa mwaka 2008 hivi akiwa udom..baadae akaja kuteuliwa kuwa mgombea ubunge kibaha. alishinda 2010. bwana koka akampa mpunga mwanana. akanunua fanicha na makorokoro kibao ya ndani kwenda kuanza maisha hko tabata. wenzake chadema wakimpigia hapokei .kumfuata alipo wakakuta uzunguni. lwakuwa kitila alikuwa cdm kwa kazi maalum akawa anamtumia kwenye baadhi ya kazi zake na alimplant ili awe anajua nyendo za zzk. matokeo yake baada ya uchaguzi kapewa jamvi la habar na kuanza kuwagawa watanzania kwa hoja za viroja.
Hatimaye amebaki historia tu, kwishney.
 
Back
Top Bottom