nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,638
- 20,249
boya mchange aliuza ushindi mchana kweupehabibu mchange nguli wa siasa? huyu alitumwa akatumika ni mchumia tumbo. alianza kujihusisha na siasa mwaka 2008 hivi akiwa udom..baadae akaja kuteuliwa kuwa mgombea ubunge kibaha. alishinda 2010. bwana koka akampa mpunga mwanana. akanunua fanicha na makorokoro kibao ya ndani kwenda kuanza maisha hko tabata. wenzake chadema wakimpigia hapokei .kumfuata alipo wakakuta uzunguni. lwakuwa kitila alikuwa cdm kwa kazi maalum akawa anamtumia kwenye baadhi ya kazi zake na alimplant ili awe anajua nyendo za zzk. matokeo yake baada ya uchaguzi kapewa jamvi la habar na kuanza kuwagawa watanzania kwa hoja za viroja.
mzee makamba alitia timu mchana akaongea na kijana biashara ikaisha,vijana waliokuwa wanashinikiza atangazwe mshindi waliishia kupigwa mabomu
mchumia tumbo alitokea mlango wa nyuma na briefcase chini ya ulinzi mzito
stupid mchange,hii leo njaa iko pale pale heshima zero