johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Huyu jamaa alikuwa ndio injini ya chama cha ACT wazalendo na alikuwa ndio msaidizi mkuu wa KC Zitto Kabwe. Kwa muda sasa sijamsikia pale Ujiji au ndio aliondoka na Prof Kitila!!
Alisha achana na siasa.Huyu jamaa alikuwa ndio injini ya chama cha ACT wazalendo na alikuwa ndio msaidizi mkuu wa KC Zitto Kabwe. Kwa muda sasa sijamsikia pale Ujiji au ndio aliondoka na Prof Kitila!!
Safi sana alipata ajira Nssf?Alisha achana na siasa.
Kile kigazeti uchwara cha Musiba Tanzanite zile pumba zote ni kazi ya huyo Habib Mchange na hilo boya Musiba.Huyu jamaa alikuwa ndio injini ya chama cha ACT wazalendo na alikuwa ndio msaidizi mkuu wa KC Zitto Kabwe. Kwa muda sasa sijamsikia pale Ujiji au ndio aliondoka na Prof Kitila!!
Kaajiliriwa na Musiba, very interesting......Safi sana alipata ajira Nssf?
Mchange hajawahi kuwa mwanasiasa machachariKaajiliriwa na Musiba, very interesting......
Ok, kwahiyo amehamia CCM.......... kazi wanayo!Kile kigazeti uchwara cha Musiba Tanzanite zile pumba zote ni kazi ya huyo Habib Mchange na hilo boya Musiba.
Hahahaa....... muulize Zitto!Mchange hajawahi kuwa mwanasiasa machachari
Tokea akiwa hapo Chadema yeye na Kafulila!Ni lini Mchumia tumbo Mchange aliwahi kuwa Mwanasiasa nguli ?
uongo utakusaidia nini ?Tokea akiwa hapo Chadema yeye na Kafulila!
Analima matikiti maji bonde la MTO RUVUHuyu jamaa alikuwa ndio injini ya chama cha ACT wazalendo na alikuwa ndio msaidizi mkuu wa KC Zitto Kabwe. Kwa muda sasa sijamsikia pale Ujiji au ndio aliondoka na Prof Kitila!!
Uko sahihi.... sidhani kama kuna mtu timamu wa kumkumbuka huyo kijana.Hii thread nahisi ni ile mtu anajitekenya halafu anacheka mwenyewe
Huyo mtoa mada ndio yeye mwenyewe anajitekenye kupima upepo wa wananchi kama bado wanamkumbukaUko sahihi.... sidhani kama kuna mtu timamu wa kumkumbuka huyo kijana.