washa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 626
- 370
Kwa muda sasa Mtangazaji huyu mweledi na makini hajaonekana katika vipindi vyake alivyokuwa akiviongoza kwa ustadi wa hali ya juu huku akibainisha upeo wake mpana katika masuala kadhaa.
Kuna mdau yeyote mwenye taarifa za bwana huyu?, Star TV imepwaya sana; vipindi vyake vya jumamosi asubuhi na jumatatu usiku vimetoweka!...
Kuna mdau yeyote mwenye taarifa za bwana huyu?, Star TV imepwaya sana; vipindi vyake vya jumamosi asubuhi na jumatatu usiku vimetoweka!...