Hapo Msoga nyumbani kwake hayupo?Huyu baba sio kawaida yake.
Haiwezi kupita week hujamsikia kwenye chombo cha habari ,ila nashangaa kawa kimya hata kwenye kampeni za wanafamilia wake haonekani mara kwa mara.
Yuko wapi huyu baba?
Hii ndiyo ukichimama nchale ukikaa nchale!!! Akionekana, mnachema anamzonga Kiongozi akipotea mnachema haonekani! Tuwaeleweje?Yuko wapi
Nasikia kazira baada ya kusutwa mitandaoni kwamba amekua kimbelembele sana . Kwanza raia hamna wema si mlisema atulie nyumbani alee wajukuu?Huyu baba sio kawaida yake.
Haiwezi kupita week hujamsikia kwenye chombo cha habari ,ila nashangaa kawa kimya hata kwenye kampeni za wanafamilia wake haonekani mara kwa mara.
Yuko wapi huyu baba?