Yuko wapi msanii Jos Mtambo?

Nimeshakula ugali ngangari wanaonijua siwajui nawachunia washamba hao,
Jose mtambo mzee wa Kigambonino
 
Ni wakati wa kujilinda sasa ,utakoma utaenya na kithaa thaa - 1996 Ngoma ya ukimwi.

 
Shabiki wake nimem miss sana.

Nimekumbuka wimbo wake wa darasa huru

Wasanii wa zamani walikuwa na ngoma kali sana ila pesa wengi hawakupata. Walipata ma promota tu
Anahitaji Rehab kama alivyopewa Dullayo.

Cc😛ili Masana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…