Alvajumaa JF-Expert Member Joined Jul 5, 2018 Posts 5,331 Reaction score 6,613 Aug 9, 2021 #21 Nimeshakula ugali ngangari wanaonijua siwajui nawachunia washamba hao, Jose mtambo mzee wa Kigambonino
Nimeshakula ugali ngangari wanaonijua siwajui nawachunia washamba hao, Jose mtambo mzee wa Kigambonino
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 60,342 Reaction score 88,521 Aug 9, 2021 #22 Ni wakati wa kujilinda sasa ,utakoma utaenya na kithaa thaa - 1996 Ngoma ya ukimwi. Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio? Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa. www.jamiiforums.com
Ni wakati wa kujilinda sasa ,utakoma utaenya na kithaa thaa - 1996 Ngoma ya ukimwi. Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio? Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa. www.jamiiforums.com
othiambo JF-Expert Member Joined Nov 15, 2014 Posts 2,005 Reaction score 2,811 Aug 9, 2021 #23 Simon Adebisi said: Jos masihara ebana eee Click to expand... Umeniwaui jos masihara hatari Sana
Melancholic JF-Expert Member Joined Oct 12, 2018 Posts 3,543 Reaction score 6,491 Aug 9, 2021 #24 Brooklyn N said: Inaitwa Rais wa ghetto hiyo hivi yule msela aliyechana verse ya kwanza sijui nani yule aliua Sana. Click to expand... Yule anaitwa X-ray ukimskia vzr unaweza kudhani saigon
Brooklyn N said: Inaitwa Rais wa ghetto hiyo hivi yule msela aliyechana verse ya kwanza sijui nani yule aliua Sana. Click to expand... Yule anaitwa X-ray ukimskia vzr unaweza kudhani saigon
K King tox Senior Member Joined Aug 7, 2021 Posts 153 Reaction score 111 Aug 9, 2021 #25 Bigg Jose noma sana