MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,735
- 9,188
Mbunge asipohudhuria vikao vya bunge bila ruhusa ya Mh. Spika huadhibiwa. Adhabu itategemea na idadi ya vikao ambavyo hatahudhuria kwa sababu za kipuuzi za kujipoteza. Anaweza hata kupoteza ubunge wake for not being sane.
Jee na simu yake pia haipatikani? Kama jibu ni ndiyo bsi hali ni mbaya na uchunguzi inabidi uanze haraka iwezekanavyo na uanzie kwa wanafamilia/ mke wake. Yanaweza kusaidia pia kupata jibu la kupotea kwa Saa 8.Wana jf wasalaam.
Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.
Wasalaam.
Ameoa lakini, sijui unahitaji nini kwake?
It is also insane for a sober person to submit himself to the draculars searching for his blood!!Mbunge asipohudhuria vikao vya bunge bila ruhusa ya Mh. Spika huadhibiwa. Adhabu itategemea na idadi ya vikao ambavyo hatahudhuria kwa sababu za kipuuzi za kujipoteza. Anaweza hata kupoteza ubunge wake for not being sane.