Habari wadau?
Hivi huyu mwanasheria wakili msomi nguli wa sheria za kimataifa yuko wapi maana asikiki tena hata ile kauli mbiu yake ya mkono kwa mkono inaelekea kusahaulika vichwani mwa wananchi.
Au ni mgonjwa yuko nje ya nchi maana hata vikao vya bunge sija msikia siku za hivi karibuni
Hivi huyu mwanasheria wakili msomi nguli wa sheria za kimataifa yuko wapi maana asikiki tena hata ile kauli mbiu yake ya mkono kwa mkono inaelekea kusahaulika vichwani mwa wananchi.
Au ni mgonjwa yuko nje ya nchi maana hata vikao vya bunge sija msikia siku za hivi karibuni