Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Wakati chama cha ukombozi CDM kikiendele kutoa elimu ya uraia ili kuwatoa utumwani watanzania natoa ushauri kwa kijana Bw Julius Mtatilo asome alama za nyakati. Kama magamba wasema ccm sio baba wala mama yao itakua cuf?. Hamia airtel ww shauri yako.....