Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Baada ya tetesi kuwa mjadala wa Escrow A/c aliusimamia vibaya kinyume na maslahi ya CCM na Serikali yake, kulikuwa na habari za uhakika kuwa Ndugai kapewa likizo na kwenda kupumzika nje kwa gharama za serikali ili asiendelee kuisababishia serikali kuaibika.
Bunge limeshaanza tena naye haonekani kabisa jee kunani? Yupo au ndio hivyo tena ameshapotezwa na kuna siku tutakuja ambiwa aliugua huko alikokwenda ( kama Balali) akatibiwa halafu ............. Ndio hivyo tena.
Watujuze Naibu spika aliyeruhusu Escrow kujadiliwa kwa uwazi yuko wapi?
Bunge limeshaanza tena naye haonekani kabisa jee kunani? Yupo au ndio hivyo tena ameshapotezwa na kuna siku tutakuja ambiwa aliugua huko alikokwenda ( kama Balali) akatibiwa halafu ............. Ndio hivyo tena.
Watujuze Naibu spika aliyeruhusu Escrow kujadiliwa kwa uwazi yuko wapi?