Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,173
- 26,908
Kumbe bado anaumwa
Duuuuu umetukumbusha, alifukzwa na kupotezwa wakati wa escrow hadi kesho hapewi nafasi kabisaaaa, pole ndugai ushirika na wezi lazima uwe mwizi sugu, ukisita kidogo lazma kushughulikiwa
Kuna issue under carpet. Hata mama Makinda hajatulia kabisa bunge hili.Wametaka kumfanyia kama komba design
duh asee
Kuna issue under carpet. Hata mama Makinda hajatulia kabisa bunge hili.
Nami nimeona kwanza kakaa kiwogawoga tu!! halafu si yule ambaye siku zote huwa makini katika utendaji wake....anyway time will tell.
HIV inamtafuna,ukiwa unachapa chapa ovyo lazima uugue kifua