Afya ya Ndugai mgogoro
Chanzo: Mheshimiwa spika akihitimisha kikao cha 18 cha bunge!
Afya ya Ndugai mgogoro
Chanzo: Mheshimiwa spika akihitimisha kikao cha 18 cha bunge!
jamaa ni mpiga pombe kali sana ndiyo maana akikwaruzana na sugu au lemà lazima amtoe nje,alikuwa anaingia jicho jekundu,lazima ini limeiva tayari kwa chakula
nikikumbuka kifo cha utata cha Williamu Mwigima yule waziri wa fedha nazidi kuichukia ccm.Ccm ni wauaji
kama ni kweli basi ccm watakuwa wamemchinjia bahariniAfya ya Ndugai mgogoro
Chanzo: Mheshimiwa spika akihitimisha kikao cha 18 cha bunge!
Baada ya tetesi kuwa mjadala wa Escrow A/c aliusimamia vibaya kinyume na maslahi ya CCM na Serikali yake, kulikuwa na habari za uhakika kuwa Ndugai kapewa likizo na kwenda kupumzika nje kwa gharama za serikali ili asiendelee kuisababishia serikali kuaibika.
Bunge limeshaanza tena naye haonekani kabisa jee kunani? Yupo au ndio hivyo tena ameshapotezwa na kuna siku tutakuja ambiwa aliugua huko alikokwenda ( kama Balali) akatibiwa halafu ............. Ndio hivyo tena.
Watujuze Naibu spika aliyeruhusu Escrow kujadiliwa kwa uwazi yuko wapi?