Yuko wapi JCB wa watengwa?

Yuko wapi JCB wa watengwa?

kabalasi

Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
48
Reaction score
45
Ndugu wanajamvi naomba kuuliza Hyu mc wa kijenge juu anaitwa JCB ambaye ashawahi toa single Kali kama ukisikia paa,ishakua mbaya, yuko wapi mbona hasikiki kabisa kama swahiba wake Chindo anayetoa single kila mwaka,au kaacha game wadau.
 
Jcb yuko arusha asee, na saivi yuko mombasa kwenye show, yuko poa sana tu,wadau mngekuwa na uwakika na kitu ndo mcoment sio lzma kuonyesha wivu au chuki zenu waziwazi ivii asee
 
Jcb yuko arusha asee, na saivi yuko mombasa kwenye show, yuko poa sana tu,wadau mngekuwa na uwakika na kitu ndo mcoment sio lzma kuonyesha wivu au chuki zenu waziwazi ivii asee

Kumbe ushafukuzwa na Mzungu
Pole yako Hizo shoo za Mombasa kuwa makini usiolewe tena
 
Wivu gani sasa mzee?
Kwani mke wa JCB sio mzungu?
Kwani JCB haishi nchi iliyopo huko Scandinavia?
Kwani mke wa JCB sio mkubwa kuzidi JCB?

Wabongo ukisema ukweli kama ulivyo watu wanasema wivu.
Sasa mke wa JCB ni kibibi ??? Hapo tuu ndo penye wivu
 
Ni kawaida kwa wanaume wa Arusha kuolewa majuu sishangai hili la JCB
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom