Yuko wapi January Makamba?

Yuko wapi January Makamba?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,709
Reaction score
25,490
Huyu jamaa toka jina lake likatwe huko CCM sijamsikia tena.

Hata kutoa pole kwa waliokufa kwenye maandamano hajatoa.

Hivi yupo kweli?
 
Yupo ila CCM ikitaka kukupoteza hata ukitema mate wanadaka na kuweka mfukoni
Inasemekana ana mkono kwenye issue ya 29 October. Eti ni miongoni mwa sponsors wa gen Z.
 
Inasemekana ana mkono kwenye issue ya 29 October. Eti ni miongoni mwa sponsors wa gen Z.
Mnatafuta wachawi tu yani Haki watafute wengine mseme kuna watu waliratibu achaeni uzwazwa mfano leo ukinyimwa haki ulitaka ukaongozwe na janury ujue haki yako.
 
Huyu jamaa toka jina lake likatwe huko ccm sijamsikia tena.
Hata kutoa pole kwa waliokufa kwenye maandamano hajatoa.
Hivi yupo kweli?
Achana na hizi tabia za kike (kama wewe ni mwanaume lakini). Niamini mimi! Hazitakusaidia chochote! Wala kukufikisha popote.
 
Inasemekana ana mkono kwenye issue ya 29 October. Eti ni miongoni mwa sponsors wa gen Z.
"Inasemekana ana mkono kwenye issue ya 29 Ictober. Eti ni miongoni mwa sponsors wa genZ"
Huu ni umbea wa wazi kabisa na ambao hautakiwi kufanywa na mtu wa jinsia ya kiume.
 
Huyu jamaa toka jina lake likatwe huko CCM sijamsikia tena.

Hata kutoa pole kwa waliokufa kwenye maandamano hajatoa.

Hivi yupo kweli?
"Madaraka ni kama koti la kuazima" -JM

Kauli iliyopoteza dira ya February Marope mpaka sasa hajulikani yupo wapi na ndoto zake zote zimeisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom