Yuko wapi IGP mstaafu Omary Mahita?

Yuko wapi IGP mstaafu Omary Mahita?

Mzee wa ngunguri namkumbuka sana kwenye propaganda yake ya kontena la visu aina ya majambia alilotaka kuaminisha umma kuwa lililetwa na Cuf kwa ajili ya kuvuruga amani ya nchi......poor are u Mahita
Ha ha ha haaaaa.......uwiiiiii hyo nn lugha gongana mweeee wacha hyo weye weka kiswahili bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna, siyo mada chef cooker. Hahahaa. Huwezi jua anachokitaka ama anachokifuata kwa hao wanawake. Kila mtu ana interests zake kwa wanawake. Kwa hiyo kumbe kuna hadhi ya wakutoka naye eee.? Mimi naamini hadhi haijalishi katika mambo ya mahusiano, what matters ni upendo.


hahahaha 'chef' mie bas nipo tofauti...!labda!.. hata kujenga unashauriwa kiwanja unaponunua angalia majiran zako wanaishi maisha gan.. we haya!..!
 
Kati ya ma IGP wa hovyo waliowahi kutokea ni huyu Mzee.

Mzee wangu mmoja marehemu enzi hizo akiwa "mzee wa kazi" alikuwa rafiki sana wa huyu jamaa.

Kwa kifupi alikuwa na urafiki sana na "wazee wa kazi".
Baada ya tukio la Anne Kilango Malecela (mikese) nadhani aliwageuka wazeee wa kazi
 
mhh kuna wanaume bwana mbn wanabagua kbs wanawake wakutoka nao?? huyu habagui! anachefua sana yaan anawadhalilisha sana wake zake!... binafs ningekuwa mwanamume mie nisingetembea na mwanamke mchafu,huez nielewa!...

We mbona unatoa sana povu??...yawezekana na wewe ni victim wa harakati za zake...sio kwa povu hilo we kama alikugonga akakuacha na maumivu tulia hivyohivyo dawa ikuingie
 
We mbona unatoa sana povu??...yawezekana na wewe ni victim wa harakati za zake...sio kwa povu hilo we kama alikugonga akakuacha na maumivu tulia hivyohivyo dawa ikuingie


UMENENA MKUU!
 
Yupo feri anavua samaki.kama unamtaka nenda kuanzia mida ya saa 4 asubui utamkuta anapiga mnada samaki wake
 
Yupo nyumbani kwa forest hill morogoro.Nawakati mwengine huwa anaoneka msikiti wa karume anatabaruk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom