MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
Ndio maana tunauliza kwa maana umemshangaa anachukua wanawake wabovu ina maana wewe ukobfresh sasa alivyojaribu to hit on you ambaye ni bomba matokeo yalikuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha sijawah kutana nae hv ana kwa ana...namanisha wabovu kwann unatemea na kila mwanamke!una shida gan ww... lol! unaona kbs huyu mwanamke ht life lake la kudanga unatemea nae unajipend ahujipend! unaona kbs huyu ht ngz yake inaoensha majanga we nae unatumbukia humo! bas mie ni mshamba