Yuko wapi IGP mstaafu Omary Mahita?

Yuko wapi IGP mstaafu Omary Mahita?

huyu baba jaman huwa namfikirianashindwa mmaliza! kakanyaga km beki 3 km7 za pale mtaan kwao! yaan akukute hata barabaran saa 1 asbh atasimama na kuomba namba yako.. anakula wanawake wanaoirahsi uwiiiiiiii kifupi anakula wanawake wa ajabu kuwah kutokea aic! huwa simsalimii mie..pyeeeee
 
hahhaha hii ndo naiskia kwako!hatar sana

Huyu mzee alinishangaza sana mwaka 2004 Indonesia ilipokumbwa na tsunami aliposema seriously kwamba nchi hiyo imekumbwa na tsunami kwa sababu wanaendekeza sana ngono.
 
Huyu jamaa alipiga sana hela enzi zake,yaani hata mawaziri hawamfikii,anamajumba ya kutosha tanzania bara na visiwani,beach houses,private beach,ana hospitali,yuko kwenyw kilimo na mengine kibao,kuna mwanae mmoja alikuwa anatamba sana insta kipindi cha nyuma.
 
huyu baba jaman huwa namfikirianashindwa mmaliza! kakanyaga km beki 3 km7 za pale mtaan kwao! yaan akukute hata barabaran saa 1 asbh atasimama na kuomba namba yako.. anakula wanawake wanaoirahsi uwiiiiiiii kifupi anakula wanawake wa ajabu kuwah kutokea aic! huwa simsalimii mie..pyeeeee

Na wewe wewe alikuomba??!!!
 
huyu baba jaman huwa namfikirianashindwa mmaliza! kakanyaga km beki 3 km7 za pale mtaan kwao! yaan akukute hata barabaran saa 1 asbh atasimama na kuomba namba yako.. anakula wanawake wanaoirahsi uwiiiiiiii kifupi anakula wanawake wa ajabu kuwah kutokea aic! huwa simsalimii mie..pyeeeee
Beki tatu wanawake wa ajabu eh? Inaelekea hujii tofauti ya kuku wa kienyeji na mabroiler!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom