Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 28,027 Reaction score 52,501 Jul 31, 2016 #61 au alikatwa ulimi hawezi kuongea?
kilimbamula JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 1,792 Reaction score 853 Jul 31, 2016 #62 Familia haitaki mjadala juu yake, endeleeni na shughuli zenu.
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 93,948 Reaction score 132,279 Jul 31, 2016 #63 Alitulizwa na****** ikabidi akae kimya
Philipo D. Ruzige JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 9,429 Reaction score 27,123 Jul 31, 2016 #64 Simiyu Yetu said: Yuko kwangu unataka nini? Click to expand... Maarko said: Acha dharau,Ulimboka haruhusiwi kuoa wake wawili! Click to expand... kweli humu JF kuna watu wana majibu ambayo ukiandika kwenye mtihani wa taifa paper inaungua
Simiyu Yetu said: Yuko kwangu unataka nini? Click to expand... Maarko said: Acha dharau,Ulimboka haruhusiwi kuoa wake wawili! Click to expand... kweli humu JF kuna watu wana majibu ambayo ukiandika kwenye mtihani wa taifa paper inaungua
Babu Kijiwe JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 4,845 Reaction score 4,775 Jul 31, 2016 #65 Yupo Jf
KWEZISHO JF-Expert Member Joined Jan 29, 2016 Posts 7,519 Reaction score 6,522 Jul 31, 2016 #66 Sijuti said: Yupo Jf Click to expand... Mbona yupo kimya sana?
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,722 Jul 31, 2016 #67 Kawa kama chizi..... Wamemmalizia mbali
B babu na mjukuu JF-Expert Member Joined Jun 23, 2016 Posts 3,949 Reaction score 6,751 Jul 31, 2016 #68 Aligundua kuwa wale wanasiasa wa matukio ndio walioucheza ule mchezo ili serekali na usalama walaumiwe nao wapate chakutokea. Alipogundua hayo wakati alikuwa anawaunga mkono. Nawao ndio walimtuma alichoka akaamua kukaa kimya
Aligundua kuwa wale wanasiasa wa matukio ndio walioucheza ule mchezo ili serekali na usalama walaumiwe nao wapate chakutokea. Alipogundua hayo wakati alikuwa anawaunga mkono. Nawao ndio walimtuma alichoka akaamua kukaa kimya
Shin Lim JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 8,100 Reaction score 14,839 Jul 31, 2016 #69 Nimejikumbusha kusoma jinsi alivyosimulia Ulimboka wakati ametekwa, aisee nimeogopa sana. Hawa binadamu waache kama walivyo.
Nimejikumbusha kusoma jinsi alivyosimulia Ulimboka wakati ametekwa, aisee nimeogopa sana. Hawa binadamu waache kama walivyo.
U Undu JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 3,525 Reaction score 1,901 Jul 31, 2016 #70 Madactari bado wanaknyongo hata Havana amani
fredymkanza JF-Expert Member Joined Jun 19, 2016 Posts 284 Reaction score 152 Aug 1, 2016 #71 Basi nashukuru kama ni mzima
I Idofi JF-Expert Member Joined Dec 14, 2010 Posts 2,294 Reaction score 2,007 Aug 1, 2016 #72 Msangi yupo mwanza sasa mby alihama
MAGARI7 JF-Expert Member Joined Mar 5, 2016 Posts 2,401 Reaction score 1,308 Aug 1, 2016 #73 TzPride said: Tanzania kuna amani!: 1. Liwalo na liwe...Ulimboka kaumia 2. Wapigwe tu....Mwangosi kafa, Kibanda kang'olewa jicho n.k Amani au ukandamizaji? Click to expand... Kibanda ndio nani.?
TzPride said: Tanzania kuna amani!: 1. Liwalo na liwe...Ulimboka kaumia 2. Wapigwe tu....Mwangosi kafa, Kibanda kang'olewa jicho n.k Amani au ukandamizaji? Click to expand... Kibanda ndio nani.?
B baby shizzo Member Joined Aug 23, 2015 Posts 28 Reaction score 14 Aug 1, 2016 #74 Tehetehetehe,Tanzania nchi yangu naipenda
MAGARI7 JF-Expert Member Joined Mar 5, 2016 Posts 2,401 Reaction score 1,308 Aug 1, 2016 #75 Nyamgluu said: Ndio location yangu hio. Najua siwezi fatwa. Aisee huyu jamaa akikuhadisia na uweze ku read between the lines utalia wiki! Click to expand... Nani,wapi na kwanini aisee?
Nyamgluu said: Ndio location yangu hio. Najua siwezi fatwa. Aisee huyu jamaa akikuhadisia na uweze ku read between the lines utalia wiki! Click to expand... Nani,wapi na kwanini aisee?
MAGARI7 JF-Expert Member Joined Mar 5, 2016 Posts 2,401 Reaction score 1,308 Aug 1, 2016 #76 Mulhat Mpunga said: Kawa kama chizi..... Wamemmalizia mbali Click to expand... Unamaanisha nini.?
MAGARI7 JF-Expert Member Joined Mar 5, 2016 Posts 2,401 Reaction score 1,308 Aug 1, 2016 #77 Inferiority Complex said: Nimejikumbusha kusoma jinsi alivyosimulia Ulimboka wakati ametekwa, aisee nimeogopa sana. Hawa binadamu waache kama walivyo. Click to expand... Link please kama ipo ...
Inferiority Complex said: Nimejikumbusha kusoma jinsi alivyosimulia Ulimboka wakati ametekwa, aisee nimeogopa sana. Hawa binadamu waache kama walivyo. Click to expand... Link please kama ipo ...
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,265 Aug 1, 2016 #78 4kakakuona said: Jamani wa jf kuna mtu yoyote ana habari za Dr. Ulimboka? Toka amerudi Africa kusini hatusikii chochote, hebu nipeni update. Click to expand... Daaah mkuu unanitia simanzi, huwa nikimkumbuka naichukia sana nchi hii
4kakakuona said: Jamani wa jf kuna mtu yoyote ana habari za Dr. Ulimboka? Toka amerudi Africa kusini hatusikii chochote, hebu nipeni update. Click to expand... Daaah mkuu unanitia simanzi, huwa nikimkumbuka naichukia sana nchi hii
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,265 Aug 1, 2016 #79 Simiyu Yetu said: Yuko kwangu unataka nini? Click to expand... Lumumba bhana!!
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,265 Aug 1, 2016 #80 Maarko said: Acha dharau,Ulimboka haruhusiwi kuoa wake wawili! Click to expand... Tena mke wa lumumba ndo hataki hata kumsikia
Maarko said: Acha dharau,Ulimboka haruhusiwi kuoa wake wawili! Click to expand... Tena mke wa lumumba ndo hataki hata kumsikia