Ndio ubaya wa maisha ya kiki na umaarufu.
Angepiga hela kimyakimya hata wasingemshtukia.
Na yule jamaa anayejiita chief ipo siku naye watambananisha aonyeshe ushahidi wa kazi inayomuingizia kipato,sasa hivi wanajifanya kama hawamuoni ili aendelee kujianika zaidi