kaka nakushauri mzuri na wa kiusalama zaidi uende kumwomba Mungu wako kwanza kisha umtafute huyo mchumba kanisani au msikitini lasivyo wa humu watakutoa ngeu bure hakuna mchumba mwema anayepatikana kwenye mitandao ndugu ni uzushi mtupu na ubatili mtupu humu, kaaza kumwomba Mungu atakupa mke aliyemwema kwako na sio hapa
Hata wewe?
Uwa nawaza nikikutana na mtu jf afu akanikunja ivi nn kinaweza tokea? Nawaza tu
Njoo kwangu mimi sina vigezo, ilimradi una hofu ya MunguMmmmhh....vigezo noma
Siamini hivyo, naamini hata humu wapo wanawake wazuri wanaojielewa na pengine nao wanaendelea kusugua goti ili Mungu awajalie wenza wa maisha.kaka nakushauri mzuri na wa kiusalama zaidi uende kumwomba Mungu wako kwanza kisha umtafute huyo mchumba kanisani au msikitini lasivyo wa humu watakutoa ngeu bure hakuna mchumba mwema anayepatikana kwenye mitandao ndugu ni uzushi mtupu na ubatili mtupu humu, kaaza kumwomba Mungu atakupa mke aliyemwema kwako na sio hapa
Itategemea. Kama bado mchanga, utakunjika.
ahaaaaaaa loh huwezi nikunja na ikitokea bas nastaaf jiefu loh nabaki kuwa raia mwema. Loh may be naweza fumba macho nife kwa maji ya ziwa victoria kuliko kufa kwa ndoo moja ya maji kama ana zile sumu zinazonitoaga udenda.Itategemea. Kama bado mchanga, utakunjika.
Hihiiii we kweli KAKAJAMBAZI.Hata mm akina dada. Mwenye vigezo vya apo juu tafadhali anipm.
kaka nakushauri mzuri na wa kiusalama zaidi uende kumwomba Mungu wako kwanza kisha umtafute huyo mchumba kanisani au msikitini lasivyo wa humu watakutoa ngeu bure hakuna mchumba mwema anayepatikana kwenye mitandao ndugu ni uzushi mtupu na ubatili mtupu humu, kaaza kumwomba Mungu atakupa mke aliyemwema kwako na sio hapa
kaka nakushauri mzuri na wa kiusalama zaidi uende kumwomba Mungu wako kwanza kisha umtafute huyo mchumba kanisani au msikitini lasivyo wa humu watakutoa ngeu bure hakuna mchumba mwema anayepatikana kwenye mitandao ndugu ni uzushi mtupu na ubatili mtupu humu, kaaza kumwomba Mungu atakupa mke aliyemwema kwako na sio hapa
ahaaaaaaa loh huwezi nikunja na ikitokea bas nastaaf jiefu loh nabaki kuwa raia mwema. Loh may be naweza fumba macho nife kwa maji ya ziwa victoria kuliko kufa kwa ndoo moja ya maji kama ana zile sumu zinazonitoaga udenda.
"...Naona unatafuta ukimwi kwa nguvu kijana "jamani habari zenu hasa wadada huu ni ujio wenu ,mimi ni mkaka mwenye miaka 32. Ni muhitimu wa ngazi ya shahada, afisa elimu ngazi ya sekondari kwa sasa, na nina imani ya juu ndani ya kristo yesu . Ni mweusi ila si saana , wastani tu na mwembamba kiasi.ni mrefu kiasi cha futi sita .
lengo langu ni kuomba dada mmoja mrembo mwenye vigezo vifuatavyo niwe nae mpaka mwisho wa dunia hii ya mwenyezi mungu:
>>awe na imani sana kwa yesu kristo ,yaani mshika maandiko.
>>awe ana elimu kuanzia diploma kwenda juu kwa fani yeyote.
>>awe ameajiriwa na anakipato kama mimi nilivyo na kipato.
>>awe anaishi kwake si tegemezi tena, mwenye uhuru wa kimaisha kama mtu mzima.
>>awe si mfupi bali wa wastani au mrefu
>>awe mrembo wa sura na asiwe mweusi hata kidogo.
>>awe na umbo zuri.
nina maanisha na alie na vigezo tu ambaye yuko tayari kupima , na ambae yuko huru kwa mahusiano ya ukweli tangu leo mpaka ndoa hivi karibuni anipigie tufahamiane na kukubaliana pia kupitia 0765123277.
tafadhali mimi mkweli na muhitaji usinidhulumu haki yangu ya kupenda endapo hauna vigezo hivyo.nahitaji mapenzi ya dhati kutoka kwa mrembo mwenye sifa hizo.