Yuko wapi dada wa kuwa nami maishani jamani?

Yuko wapi dada wa kuwa nami maishani jamani?

Na mwenye mapenzi ya dhati kwako anaemjuaYesu na mwenye hofu ya Mungu ila hana kazi i mean hajafikia level ulotaja na hana kipato haruhusiwi mkuu??
 
kaka nakushauri mzuri na wa kiusalama zaidi uende kumwomba Mungu wako kwanza kisha umtafute huyo mchumba kanisani au msikitini lasivyo wa humu watakutoa ngeu bure hakuna mchumba mwema anayepatikana kwenye mitandao ndugu ni uzushi mtupu na ubatili mtupu humu, kaaza kumwomba Mungu atakupa mke aliyemwema kwako na sio hapa

Hata wewe?
 
we kijana...mkeo mtarajiwa unamuita dada ukiwa nae ndani si utakuwa unalala unampa mgongo!?
 
labda alishapata hii ni mwaka 2013


mna watoto wangapi mkuu ? mleta uzi
 
Uwa nawaza nikikutana na mtu jf afu akanikunja ivi nn kinaweza tokea? Nawaza tu
 
kaka nakushauri mzuri na wa kiusalama zaidi uende kumwomba Mungu wako kwanza kisha umtafute huyo mchumba kanisani au msikitini lasivyo wa humu watakutoa ngeu bure hakuna mchumba mwema anayepatikana kwenye mitandao ndugu ni uzushi mtupu na ubatili mtupu humu, kaaza kumwomba Mungu atakupa mke aliyemwema kwako na sio hapa
Siamini hivyo, naamini hata humu wapo wanawake wazuri wanaojielewa na pengine nao wanaendelea kusugua goti ili Mungu awajalie wenza wa maisha.
 
Mhhh!
****Awe ameajiriwa na ana kipato
****Awe anaishi kwake

Upo serious kabisa?!
 
kaka nakushauri mzuri na wa kiusalama zaidi uende kumwomba Mungu wako kwanza kisha umtafute huyo mchumba kanisani au msikitini lasivyo wa humu watakutoa ngeu bure hakuna mchumba mwema anayepatikana kwenye mitandao ndugu ni uzushi mtupu na ubatili mtupu humu, kaaza kumwomba Mungu atakupa mke aliyemwema kwako na sio hapa

kaka nakushauri mzuri na wa kiusalama zaidi uende kumwomba Mungu wako kwanza kisha umtafute huyo mchumba kanisani au msikitini lasivyo wa humu watakutoa ngeu bure hakuna mchumba mwema anayepatikana kwenye mitandao ndugu ni uzushi mtupu na ubatili mtupu humu, kaaza kumwomba Mungu atakupa mke aliyemwema kwako na sio hapa

Unajuaje labda huko Kanisani ndio ametendwa mpaka kaamua ageukie upande huu, mke popote unapata ili mradi Swaggs zikaendana tuu.
 
ahaaaaaaa loh huwezi nikunja na ikitokea bas nastaaf jiefu loh nabaki kuwa raia mwema. Loh may be naweza fumba macho nife kwa maji ya ziwa victoria kuliko kufa kwa ndoo moja ya maji kama ana zile sumu zinazonitoaga udenda.

Kusema ukweli nilijibu tu, hata sikuelewa ulimaanisha nini. Saivi ndio umeniacha kabisa.
 
jamani habari zenu hasa wadada huu ni ujio wenu ,mimi ni mkaka mwenye miaka 32. Ni muhitimu wa ngazi ya shahada, afisa elimu ngazi ya sekondari kwa sasa, na nina imani ya juu ndani ya kristo yesu . Ni mweusi ila si saana , wastani tu na mwembamba kiasi.ni mrefu kiasi cha futi sita .
lengo langu ni kuomba dada mmoja mrembo mwenye vigezo vifuatavyo niwe nae mpaka mwisho wa dunia hii ya mwenyezi mungu:
>>awe na imani sana kwa yesu kristo ,yaani mshika maandiko.
>>awe ana elimu kuanzia diploma kwenda juu kwa fani yeyote.
>>awe ameajiriwa na anakipato kama mimi nilivyo na kipato.
>>awe anaishi kwake si tegemezi tena, mwenye uhuru wa kimaisha kama mtu mzima.
>>awe si mfupi bali wa wastani au mrefu
>>awe mrembo wa sura na asiwe mweusi hata kidogo.
>>awe na umbo zuri.

nina maanisha na alie na vigezo tu ambaye yuko tayari kupima , na ambae yuko huru kwa mahusiano ya ukweli tangu leo mpaka ndoa hivi karibuni anipigie tufahamiane na kukubaliana pia kupitia 0765123277.
tafadhali mimi mkweli na muhitaji usinidhulumu haki yangu ya kupenda endapo hauna vigezo hivyo.nahitaji mapenzi ya dhati kutoka kwa mrembo mwenye sifa hizo.
"...Naona unatafuta ukimwi kwa nguvu kijana "
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom