Mungu ibarik
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 3,376
- 11,520
"...Mkuu ndoa siku hizi zinaogopwa kuliko mabaunsa"Mhhhhh ndio maana nakuwaga nawoga kuingia kwa ndoa, \
MUNGU ANISAIDIE!!!!!!
"...Mkuu ndoa siku hizi zinaogopwa kuliko mabaunsa"Mhhhhh ndio maana nakuwaga nawoga kuingia kwa ndoa, \
MUNGU ANISAIDIE!!!!!!
hhahaaah uwiiiiiiii mie hoiiiinna vigezo vyote hvyo! Ila naogopa jina lako!
Unadandia kwenye bandiko la mwenzioHata mm akina dada. Mwenye vigezo vya apo juu tafadhali anipm.
Anaweza asiwe ameajiriwa na asiwe na elimu hyo lakin akawa na biashara zake na upeo wa kuona mbali kuliko hawa wasomi wa vyetiHutokaa uoe wewe , u r too selfish. 32 yrs umechezea wangapi? Hao ambao hawana kipato nan akawaoe?
Kwa taarifa yako mrudie yule mwanamke aliyekupenda, huyu unaemtafta sasa ni unajiwashia njiti ya kiberiti ndani ya kisima cha petroli
Hata mimi naona hivyohivyo sijui kwa nn jamaniMakubwa..... Hv naona makengengeza au vp? Mbona avatar yangu naiona kwa wengine inakuwaje? Yaani wengine wanatumia au mi ndo sielewi
sogea pandee hii nikueleweshe kisiri ahaaaaKusema ukweli nilijibu tu, hata sikuelewa ulimaanisha nini. Saivi ndio umeniacha kabisa.
sogea pandee hii nikueleweshe kisiri ahaaaa
in my private office get readyWewe tu. Whenever you're ready.
wewe Rich Pol acha kugeuka geuka kama bendera ufuata mkondo wa ugonjwa wa manjano rudi kwenye nafasi yakoUnajuaje labda huko Kanisani ndio ametendwa mpaka kaamua ageukie upande huu, mke popote unapata ili mradi Swaggs zikaendana tuu.
hivi zinakuaje hizo za ngozi za temboAfisa wewe ni tatizo kooote umekosa humu sasa umekuja tafuta shida MCHA MUNGU UKAKOSA KANISANI, WAALIMU WENZIO TENA HAO NDIYO BOOOOORA HASWA KWA MALEZI HUKU KWENYE SOCIAL NETWORK UMEKUJA TAFUTA PAPUCHU ZILIZOSHINDIKANA OHOOO UTAKUTANA NA KITU IPO KAA NGOZI YA TEMBO NA SUGU JUU.
Hahahaaa naona Mkuu umepata lifti hapo....Hata mm akina dada. Mwenye vigezo vya apo juu tafadhali anipm.
Too much used imetoka ulaya ,ikaenda japan ikatumika then ikaja bongo ikatumika ikachongwa injini mpaka mwisho alafu ukainunua (namaanisha kama ni gari)sasa papuchu ndiyo ipo hivyo.hivi zinakuaje hizo za ngozi za tembo
@Nistdanavitagor rudi kwenye wadhifa wako wa Rich Pol acha kuchora watu kwa mkogo wa maji ya yakimove hovyo
