joshua joshua
New Member
- Aug 7, 2013
- 1
- 0
jamani habari zenu hasa wadada huu ni ujio wenu ,mimi ni mkaka mwenye miaka 32. Ni muhitimu wa ngazi ya shahada, afisa elimu ngazi ya sekondari kwa sasa, na nina imani ya juu ndani ya kristo yesu . Ni mweusi ila si saana , wastani tu na mwembamba kiasi.ni mrefu kiasi cha futi sita .
lengo langu ni kuomba dada mmoja mrembo mwenye vigezo vifuatavyo niwe nae mpaka mwisho wa dunia hii ya mwenyezi mungu:
>>awe na imani sana kwa yesu kristo ,yaani mshika maandiko.
>>awe ana elimu kuanzia diploma kwenda juu kwa fani yeyote.
>>awe ameajiriwa na anakipato kama mimi nilivyo na kipato.
>>awe anaishi kwake si tegemezi tena, mwenye uhuru wa kimaisha kama mtu mzima.
>>awe si mfupi bali wa wastani au mrefu
>>awe mrembo wa sura na asiwe mweusi hata kidogo.
>>awe na umbo zuri.
nina maanisha na alie na vigezo tu ambaye yuko tayari kupima , na ambae yuko huru kwa mahusiano ya ukweli tangu leo mpaka ndoa hivi karibuni anipigie tufahamiane na kukubaliana pia kupitia 0765123277.
tafadhali mimi mkweli na muhitaji usinidhulumu haki yangu ya kupenda endapo hauna vigezo hivyo.nahitaji mapenzi ya dhati kutoka kwa mrembo mwenye sifa hizo.
lengo langu ni kuomba dada mmoja mrembo mwenye vigezo vifuatavyo niwe nae mpaka mwisho wa dunia hii ya mwenyezi mungu:
>>awe na imani sana kwa yesu kristo ,yaani mshika maandiko.
>>awe ana elimu kuanzia diploma kwenda juu kwa fani yeyote.
>>awe ameajiriwa na anakipato kama mimi nilivyo na kipato.
>>awe anaishi kwake si tegemezi tena, mwenye uhuru wa kimaisha kama mtu mzima.
>>awe si mfupi bali wa wastani au mrefu
>>awe mrembo wa sura na asiwe mweusi hata kidogo.
>>awe na umbo zuri.
nina maanisha na alie na vigezo tu ambaye yuko tayari kupima , na ambae yuko huru kwa mahusiano ya ukweli tangu leo mpaka ndoa hivi karibuni anipigie tufahamiane na kukubaliana pia kupitia 0765123277.
tafadhali mimi mkweli na muhitaji usinidhulumu haki yangu ya kupenda endapo hauna vigezo hivyo.nahitaji mapenzi ya dhati kutoka kwa mrembo mwenye sifa hizo.