Yuko wapi Augustino, kaka yake Humphrey Polepole?

Yuko wapi Augustino, kaka yake Humphrey Polepole?

thegreat1510

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,408
Reaction score
3,633
Mara ya mwisho alitoa masaa 24 na tishio kali sana kwa samia na genge lake.
Kwa alivokuwa anazungumza inaonekana lilikuwa ni jambo lilio ndani ya uwezo wake kuwadhuru magaidi hawa.

Kinachonishangaza ni ukimya wake tangu siku hio, hata attempt yoyote haijaonekana hata kwa hawa askari wadogo ambao alidai hawana ulinzi.

Nini kilimkuta na kwanini hatoi update yoyote ya Kaka yake?.
 
Nyumbu hawaezi kujibu hilo swali Mwanajeshi wa NATO😂😂😂😂😂
IMG_0829.jpeg

 
Mara ya mwisho alitoa masaa 24 na tishio kali sana kwa samia na genge lake.
Kwa alivokuwa anazungumza inaonekana lilikuwa ni jambo lilio ndani ya uwezo wake kuwadhuru magaidi hawa.

Kinachonishangaza ni ukimya wake tangu siku hio, hata attempt yoyote haijaonekana hata kwa hawa askari wadogo ambao alidai hawana ulinzi.

Nini kilimkuta na kwanini hatoi update yoyote ya Kaka yake?.
Mnafikiri anao deal nao ni wepesi kama upepo ?

Watu mnashindwaga hata kupima uzito wa jambo na risk zake ?

Au akili zimeoza kiasi kwamba hamuwezi ona uzito wa jambo na watu anao deal nao ? Na sio Kila mpango wako au anachofanya akiongee yupo kwenye utelekezaji yaweza ikawa hata baada ya miaka kadhaaa..
 
Mara ya mwisho alitoa masaa 24 na tishio kali sana kwa samia na genge lake.
Kwa alivokuwa anazungumza inaonekana lilikuwa ni jambo lilio ndani ya uwezo wake kuwadhuru magaidi hawa.

Kinachonishangaza ni ukimya wake tangu siku hio, hata attempt yoyote haijaonekana hata kwa hawa askari wadogo ambao alidai hawana ulinzi.

Nini kilimkuta na kwanini hatoi update yoyote ya Kaka yake?.
Katika mtu nilishamdharau kabla hajaanza ni yeye maana ile mikwara ilionyesha kabisa sio mtu wa matendo, yeye aishie kulamba lamba midomo tu ndo anachoweza na kutoa meno nje hana lolote
 
Mnafikiri anao deal nao ni wepesi kama upepo ?

Watu mnashindwaga hata kupima uzito wa jambo na risk zake ?

Au akili zimeoza kiasi kwamba hamuwezi ona uzito wa jambo na watu anao deal nao ? Na sio Kila mpango wako au anachofanya akiongee yupo kwenye utelekezaji yaweza ikawa hata baada ya miaka kadhaaa..
Tupeane moyo
 
Mara ya mwisho alitoa masaa 24 na tishio kali sana kwa samia na genge lake.
Kwa alivokuwa anazungumza inaonekana lilikuwa ni jambo lilio ndani ya uwezo wake kuwadhuru magaidi hawa.

Kinachonishangaza ni ukimya wake tangu siku hio, hata attempt yoyote haijaonekana hata kwa hawa askari wadogo ambao alidai hawana ulinzi.

Nini kilimkuta na kwanini hatoi update yoyote ya Kaka yake?.

Mkuu Agustino hawezi kufanya lolote kwa jinsi alivyokuwa akiongea. Ni kama hakuwa na njia nyingine zaidi ya kuwatisha adui zake hadharani.

Ingawaje lolote laweza kutokea na usimu-under estimate adui yako.
Anaweza asiwe na uwezo lakini akakutana na wenye Nia na uwezo wakamsapoti.

So tahadhari lazima wazichukue aliowataja kwenye List yake.

Alafu tatizo la kisasi hakinaga expiry date. Hilo ndio kubwa na baya zaidi
 
Back
Top Bottom