2k Genius
Member
- Feb 27, 2011
- 88
- 9
Mwalimu mmoja aliwapa wanafunzi wake zoez la kuchora tembo..kila mwanafunz akawa busy akichora katika karatas lake..mwanafunz mmoja ambaye hakujua kuchora akaweka alama ya nukta katikati ya karatas jeup,harafu akampelekea mwalimu
MWALIMU;we mbona hujachora chochote??
MWANAFUNZI;mwalimu mbona nimechora kwan huon{huku akimuonesha ile nukta}
MWALIMU;ndo nin hiki??
MWANAFUNZI;ni tembo yuko kwa mbaaaaaaaaaaaali,tena anakunywa maji
MWALIMU;we mbona hujachora chochote??
MWANAFUNZI;mwalimu mbona nimechora kwan huon{huku akimuonesha ile nukta}
MWALIMU;ndo nin hiki??
MWANAFUNZI;ni tembo yuko kwa mbaaaaaaaaaaaali,tena anakunywa maji