Mkuu watangazaji wengi Bongo ni vihiyo, sasa kwa kuwa hatuna alternative inabidi tuwaangalie tu tutafanyaje sasa!Ni kihiyo sana yule Sauda,elimu ya kuunga unga ndo maana ukiangalia kwa makini interviews zake hazijawahi kuwa na mashiko sana,ni ule ulimbukeni tulionao wengi wa kumzimia mtu kisa anaonekana kwenye tv!
Kweli wakuu yuko zenji tulimuona juzi na lijamaa nafikiri ndo mumewe. Ila ucku nilipishana nao aisee ni noma yaani Saida kavaa nguo aibu tupu kama changu vile hadi nikajiuliza inakuwaje mtu unaruhusu mwanamke wako atembee uchi