S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,615
- 32,719
- Thread starter
- #41
Siamini! Mama hana hiyo roho ya kishetaniAmejificha nyuma ya pazia matukio yote yeye ndiyo anaratibu
Siamini! Mama hana hiyo roho ya kishetaniAmejificha nyuma ya pazia matukio yote yeye ndiyo anaratibu
Mpaka nimsikie ndio ndio niamini kuna baraka zake katika haya yanayoendelea nchiniNilikuwa nimeamua kwa shati kumwunga mkono kumbe nimekuja kugundua kuwa pale hapana Rais bali pana Rahisi! Bure kabisa limekubali kuendeshwa ka gari bovu!
Mama yupo ila ki ukweri kashaingizwa chaka na kundi moja hatari ambalo alijawahi kutokea nchini mwetu sukuma gang.Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.
Lakini kabla hatujatupa lawama kwa Amiri Jeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.
Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.
Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.
Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?
Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?
Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!
Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.
Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
Vimerudi tena vimekuwa nafuu kuliko awali.Ccm wanamvuruga sana huyu mama yote haya na mabadiliko yake baada ya siku 100 yalibadilishwa na kikao cha dharura au cha kikanuni cha ccm pale Dodoma baada ya hapo tu mama amebadilika kabisaaa sijui wamemfanya nn au wamemtisha nn
Tupige goti kwa Mungu rais wetu aongozwe na mamlaka ya Muumba na si wanadamu wabayaMama yupo ila ki ukweri kashaingizwa chaka na kundi moja hatari ambalo alijawahi kutokea nchini mwetu sukuma gang.
Tusikie kwanza kauli yake ndipo tujue ni yeye au kuna maadui wanataka kumharibiaYanafanyika chini ya utawala wa nani?
Kauli na matendo ni vitu tofautiTusikie kwanza kauli yake ndipo tujue ni yeye au kuna maadui wanataka kumharibia
Matendo yaweza kuwa ni ya watendaji wake ambao atawachukulia hatua mbeleniKauli na matendo ni vitu tofauti
Ni lazima uwe na self determination sio kujiendea endea tu eti kisa flan kasema na wewe ufuate kila kitu. NO NOKwa chanjo nasimama na Gwajima. Ni lazima uwe na self determination sio kujiendea endea tu eti kisa flan kasema na wewe ufuate kila kitu. NO NO
Sijui kwanini watu wanamtoa mama kwenye hatia as if hana mamlaka yoyote!Yanafanyika chini ya utawala wa nani?
Kama hata tatizo hulioni basi kweli unarudi utotoni kwa kasi ya radi.Tatizo lako ni nini haswa?
Aaaah hayo matukio unayoyataja ni matukio ya KAWAIDA SANA na hakuna haja ya Rais kuibuka na kuyazungumzia. Hayo yatazungumziwa na wenye "sekta" husika; wa akina Mbowe na hamu yao ya kutafuta umaarufu wa kisiasa yupo Waziri Simbachawene na kwa wengine wote wapo wahusika mahsusi; tusimsumbue Rais kwani ana mambo nyeti na ya maana kuliko haya ya akina Mbowe.Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza.
Lakini kabla hatujatupa lawama kwa Amiri Jeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto.
Tangu tumepandishiwa miamala hatujamsikia ila tumemsikia waziri wake akitukejeli wananchi kwamba tuhamie Burundi.
Tangu kiongozi wa chama kikuu cha cha upinzani Mh. Mbowe alipokamatwa na kuhusishwa na ugaidi hatujasikia sauti ya rais wetu.
Kuna matamko mbalimbali ya viongozi wa uma kuhusu covid19 lakini hatujamsikia mama! Yuko wapi?
Je, tangu ameapishwa kuna wakati amewahi kupiga kimya namna hii ukizingatia kuna update ya matukio mbalimbali yanayohitaji kauli yake?
Kwenye miamala tuliambiwa amesikia kilio chetu lakini mpaka muda huu sio miamala imerudi kawaida wala sauti yake. Hii sio kawaida!
Mwanzoni vifurushi vilipanda bei akatokea fasta na ile kauli yake ilifanyiwa kazi ndani ya siku mbili vifurushi vikarudi kwenye bei ya awali.
Nikiwa raia wa Tanzania naomba rais aongee na taifa
Ile ni sheria tayari hauitengui tu kienyeji kama unavyodhaniWatendaji wake wanamgomea wanamdharau check ishu ya tozo mwigulu ndo kwanza yupo kwenye kampeni ya kujipigia debe uraisi 2025 keshaanza drama tunduma za kukusanya watu kuzuia misafara.
Sheria sio msahafu.Sheria yeyeto isiyowafaa watu ni batiliIle ni sheria tayari hauitengui tu kienyeji kama unavyodhani
Hazibadilishwi hovyo hovyo kama unavyofikiri, zina kamchakatoSheria sio msahafu.Sheria yeyeto isiyowafaa watu ni batili
Anateseka na watu ambao hawana habari nae 😅😅Wewe unachuki binafsi na hao jamaa.
Chuki humdhuru mwenye kuibeba.
Kwanini baadhi ya watu mnapenda kuhusudu ukabila?
Tujifunze kujadili kwa hoja na siyo watu au matukio.
Wapende tu maana huwezi jua ndugu yako anaweza kuoa au kuolewa nao.
Je utajisikiaje moyoni mwako?!
Great minds discuss idea/issues
Average minds discuss events
Small minds discuss people/tribes