N NIMEONA JF-Expert Member Joined Aug 4, 2019 Posts 3,854 Reaction score 5,714 Feb 10, 2022 #1 yaani mi nikiusikiliza huu wimbo wake unaoitwa 'simne', NACHOKA KABISA. Yuko wapi jamani huyu mwanadada machachali?!!!
yaani mi nikiusikiliza huu wimbo wake unaoitwa 'simne', NACHOKA KABISA. Yuko wapi jamani huyu mwanadada machachali?!!!
MARTIAL20 JF-Expert Member Joined Dec 18, 2015 Posts 422 Reaction score 1,017 Feb 10, 2022 #2 Achana na huo kuna mmoja alishirikishwa na awilo.... Ila tuje kwenye topic kama atakuwa yupo hai basi umri ndio sababu yakutokwepo kwenye game.
Achana na huo kuna mmoja alishirikishwa na awilo.... Ila tuje kwenye topic kama atakuwa yupo hai basi umri ndio sababu yakutokwepo kwenye game.
N NIMEONA JF-Expert Member Joined Aug 4, 2019 Posts 3,854 Reaction score 5,714 Feb 10, 2022 Thread starter #3 MARTIAL20 said: Achana na huo kuna mmoja alishirikishwa na awilo.... Ila tuje kwenye topic kama atakuwa yupo hai basi umri ndio sababu yakutokwepo kwenye game. Click to expand... Yeah, naujua ule unaitwa bibala bala km sikosei. Ila mimi, simne naufili zaidi.....sauti nyororo, vyombo vimetulia sana; una hisia sana
MARTIAL20 said: Achana na huo kuna mmoja alishirikishwa na awilo.... Ila tuje kwenye topic kama atakuwa yupo hai basi umri ndio sababu yakutokwepo kwenye game. Click to expand... Yeah, naujua ule unaitwa bibala bala km sikosei. Ila mimi, simne naufili zaidi.....sauti nyororo, vyombo vimetulia sana; una hisia sana
Bondpost JF-Expert Member Joined Oct 16, 2011 Posts 7,097 Reaction score 10,610 Feb 10, 2022 #4 Tulishakubaliana post iende sambamba na kapicha tafadhali