Baiskeli
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 336
- 61
Amekuwa adimu si kawaida kuadimika kiasi hichi. Jamani huyu msanii namuamini sana kwa sanaa ya nyimbo za ngonjera.. Uwapi bwana william ngereja? hatuna updates za nishati zako za taa tunaona giza tu bila maelezo. Au unashughulikia nyimbo mpya ya symbion? Haya twasubiri....