Hakujua kuwa Daladala halikuwa lake, yeye alikuwa abiria tu. Sasa alifika kituoni ikabidi ashuke na abiria mwingine akapanda.Kuna msemo usemao shetani hana rafiki!!
Leo nimekumbuka aliyekuwa msajili wa vyama vya siasa aliyepata kutikisa anga la siasa Za Tanzania kwa mbwembwe huku akionesha waziwazi kuibeba CCM!!
Tendwa alijawa kiburi, Jeuri na majivuno hasa!! Mara nyingi aliapa kukifutia usajili chama cha CHADEMA kiasi kwamba chama hicho kilitangaza kutoshirikiana nae!!
Nimejiuliza tu Leo yu wapi huyu mtangulizi wa Mutungi? Ya wapi matambo yake? Ki wapi kiburi chake? I wapi jeuri yake?
Anayejua alipo atujuze!!
Hii ni rejea kidogo ya siku Za nyuma
hahahaha hii habari hata kama si ya kweli ila kiasi inanipa faraja sanaMara ya mwisho nilisikia ametelekezwa na Nyumba yake ndogo .
Malipo ni hapahapa
Yeah, from Marangu Kilimanjaro.Mutungi hivi ni mtz huyu kweli..dah
MsambaaTendwa sio watu wa kusini?
Wakishastaafu hawana ujanjaKuna mtangulizi wake anaitwa LIUNDI naye kachoka mno anatembelea ndala na nasikia hakulipwa mafao yake tangu miaka iyo bado anafatilia anapigwa danadana tu
Kweli ???!! weka jina lake la 3 labdaYeah, from Marangu Kilimanjaro.
Francis.Kweli ???!! weka jina lake la 3 labda
Yupo anasafiri sana nje, jamaa yupo vizuri kimaishaKuna msemo usemao shetani hana rafiki!!
Leo nimekumbuka aliyekuwa msajili wa vyama vya siasa aliyepata kutikisa anga la siasa Za Tanzania kwa mbwembwe huku akionesha waziwazi kuibeba CCM!!
Tendwa alijawa kiburi, Jeuri na majivuno hasa!! Mara nyingi aliapa kukifutia usajili chama cha CHADEMA kiasi kwamba chama hicho kilitangaza kutoshirikiana nae!!
Nimejiuliza tu Leo yu wapi huyu mtangulizi wa Mutungi? Ya wapi matambo yake? Ki wapi kiburi chake? I wapi jeuri yake?
Anayejua alipo atujuze!!
Hii ni rejea kidogo ya siku Za nyuma
Yupo namuonaga sana Mahakama ya Kinondoni, lile jicho moja naona ndio limekufa kabisa... Ila hapandi st... TenaKuna msemo usemao shetani hana rafiki!!
Leo nimekumbuka aliyekuwa msajili wa vyama vya siasa aliyepata kutikisa anga la siasa Za Tanzania kwa mbwembwe huku akionesha waziwazi kuibeba CCM!!
Tendwa alijawa kiburi, Jeuri na majivuno hasa!! Mara nyingi aliapa kukifutia usajili chama cha CHADEMA kiasi kwamba chama hicho kilitangaza kutoshirikiana nae!!
Nimejiuliza tu Leo yu wapi huyu mtangulizi wa Mutungi? Ya wapi matambo yake? Ki wapi kiburi chake? I wapi jeuri yake?
Anayejua alipo atujuze!!
Hii ni rejea kidogo ya siku Za nyuma
For future use........(for future use☺)
👅👅👅For future use........
Jina lake limefanana na code ya 254Kweli ???!! weka jina lake la 3 labda
Pongezi ziende kwa small house kdg katulipizia machunguJina lake limefanana na code ya 254