Yu wapi Jaji John Tendwa?

Hakujua kuwa Daladala halikuwa lake, yeye alikuwa abiria tu. Sasa alifika kituoni ikabidi ashuke na abiria mwingine akapanda.
 
Yupo anasafiri sana nje, jamaa yupo vizuri kimaisha
 
Yupo namuonaga sana Mahakama ya Kinondoni, lile jicho moja naona ndio limekufa kabisa... Ila hapandi st... Tena

Jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…