Yu wapi Dr. Azaveli Lwaitama?

Yu wapi Dr. Azaveli Lwaitama?

Dr.Exzavel Rwaitama hupo hapa Tumaini University tawi la Bukoba Nyakato.Mara nyingi tunashiriki nae kwenye kipindi cha Pole na Kazi redio Vision FM mkuu
Nasikia huwa anakuja studio na bodaboda hata kazini hivohivo hivi ni kweli!!?
 
Nimemis nondo zake sana. Alipaswa kuwa Professor sijui nini kilitokea.

Prof Shivji naye alikuwa anatufundisha vizuri sana kuhusu katiba mpya ghafla kauvyata.
Wamestaafu wapo majumbani mwao wanalea wajukuu,nenda kawasalimie.
 
Nimemis nondo zake sana. Alipaswa kuwa Professor sijui nini kilitokea.

Prof Shivji naye alikuwa anatufundisha vizuri sana kuhusu katiba mpya ghafla kauvyata.
Nakumbuka mwaka fulani chuo nilimuuliza swali (Sikumuelewa)
Akanijibu
"I'm here to confuse you not to teach"
Nilichoka asee!
 
Walikuwa wanaongea kipindi kile kwasababu kulikuwa na cha kucriticize. Sasa hawaongei kwasababu hakuna cha kucriticize!
Nope viko vingi sana na makubwa sana. Sema tu uki critisize kwa sasa unaonekana mkaidi, msaliti, na unafanyiwa kitu mbaya.
 
Huwa nakutana nae bukoba mjini Mara kwa Mara, now ni part time lecturer chuo Fulani kule Bk.
 
Yupo. Nimekutana naye kwenye ndege tukielekea Dar toka Mwanza mwezi July
 
Back
Top Bottom