Yu wapi Dr. Azaveli Lwaitama?

Yu wapi Dr. Azaveli Lwaitama?

Yupo chuo cha jokuko-bukoba kaajiliwa na anafundisha pia chuo cha carumuco kama part timer hapohapo bukoba.
 
Dr.Exzavel Rwaitama hupo hapa Tumaini University tawi la Bukoba Nyakato.Mara nyingi tunashiriki nae kwenye kipindi cha Pole na Kazi redio Vision FM mkuu
Radio vision naikubali sana ni radio ya maana kuliko ile ya kagasheki
 
Mtu akiongea usichopenda kusikia maana yake Kanunuliwa! Wabongo mna Hila sana!
 
Nimemuona leo kwenye mdahalo wa Muungano, naona afya yake imerejea vyema na alipiga vitasa fulani huku akiponda eti unaanzisha viwanda huku una watu 50m, wakati inatakiwa kuwa na watu wengi zaidi ya hao kuwa na uhakika wa bidhaa za viwandani.
 
Lipumba ndiyo kafungwa mdomo na pesa za fisiem
Bwana huyo ndio kazidi kuwa na ulimbukeni wa UPROPESA aliopewa na hao fisiemu mpaka anataka kuua ndugu zake ama kweli ROHO ni chafu mpaka wamesema PESA NDIO SABUNI YA ROHO
 
Alinifundisha linguistics Mzee wetu huyu....
Yuko wapi jamani, Mzee huyu ni mzalendo halisi!!!
 
Leo yupo kwenye mdahalo wa swala la muungano , mubashara unarushwa na itv.
Pia anafundisha SAUT ,na anafanya vipindi mbalimbali vya radio kuelimisha jamii ya ktz

Mwakola waitu!!!
Msalimie sana, mwambie Mwanafunzi wake Jojipoji kolomije anamtakia maisha marefu yenye fanaka Na asiache siasa, bado tunamhitaji sana watanzania.
 
Nikimkumbuka huyu mzee nakumbuka pia wasomi wengi waliokuwa wanaikosoa serikali pale ilipokuwa inakosea.Ukosoaji ulikuwa kupitia midahalo mbalimbali pamoja na vipindi vya redio na Televisheni lakini Leo hii wote wapo kimya.

Kupitia midahalo na makongamano hayo tuliwafahamu akina pro.Kabudi, Dr.Bana, Dr.Bashiru, Pr.Baregu na wengineo ambapo ukosoaji wao uliwaleta majukwaani akina Mtatiro, Mkumbo,Polepole,Mnyika,Nasarry nk wakiiga yale mazuri yaliyofanywa na wazee hao kwa manufaa ya Taifa.

Kwa Sasa makundi ya wazee na vijana kwa pamoja yapo kimya si majukwaani tu bali hata kwenye vyombo vya habari na wengi wao wamejiunga katika serikali na kufifisha ndoto zao za kuibui hoja kinzani kuifanya serikali iendane na matakwa ya wananchi.

Ninapomtafuta Dr.Rwaitama naombeni mnisaidie kuwatafuta na wasomi wengine tujue walipopotelea maana tunahitaji mashauri Yao.......
 
Aliekuwa anajiita mwanaccm mfu
Labda kafufukia huko
 
Jiwe hataniwi,hachezewi wala hajadiliwi.
Ukijadili takwimu jela inakuita.
Nani hapendi kuwa uraiani au kubaki hai asidhuriwe na wasiojulikana.
 
Hata mimi nampenda SanaDr Lwaitama ni mtu makini Sana katika uchambuzi wa mambo mbalimbali
 
Alikimbia jiji baada ya kutimiliwa kwenye nyumba ya chuo kikuu eneo la majumba 20. Yuko BK analima ndizi na kutafuna senene
 
Nikimkumbuka huyu mzee nakumbuka pia wasomi wengi waliokuwa wanaikosoa serikali pale ilipokuwa inakosea.Ukosoaji ulikuwa kupitia midahalo mbalimbali pamoja na vipindi vya redio na Televisheni lakini Leo hii wote wapo kimya.

Kupitia midahalo na makongamano hayo tuliwafahamu akina pro.Kabudi, Dr.Bana, Dr.Bashiru, Pr.Baregu na wengineo ambapo ukosoaji wao uliwaleta majukwaani akina Mtatiro, Mkumbo,Polepole,Mnyika,Nasarry nk wakiiga yale mazuri yaliyofanywa na wazee hao kwa manufaa ya Taifa.

Kwa Sasa makundi ya wazee na vijana kwa pamoja yapo kimya si majukwaani tu bali hata kwenye vyombo vya habari na wengi wao wamejiunga katika serikali na kufifisha ndoto zao za kuibui hoja kinzani kuifanya serikali iendane na matakwa ya wananchi.

Ninapomtafuta Dr.Rwaitama naombeni mnisaidie kuwatafuta na wasomi wengine tujue walipopotelea maana tunahitaji mashauri Yao.......
Nani anapenda kulala korokoroni!
 
Nikimkumbuka huyu mzee nakumbuka pia wasomi wengi waliokuwa wanaikosoa serikali pale ilipokuwa inakosea.Ukosoaji ulikuwa kupitia midahalo mbalimbali pamoja na vipindi vya redio na Televisheni lakini Leo hii wote wapo kimya.

Kupitia midahalo na makongamano hayo tuliwafahamu akina pro.Kabudi, Dr.Bana, Dr.Bashiru, Pr.Baregu na wengineo ambapo ukosoaji wao uliwaleta majukwaani akina Mtatiro, Mkumbo,Polepole,Mnyika,Nasarry nk wakiiga yale mazuri yaliyofanywa na wazee hao kwa manufaa ya Taifa.

Kwa Sasa makundi ya wazee na vijana kwa pamoja yapo kimya si majukwaani tu bali hata kwenye vyombo vya habari na wengi wao wamejiunga katika serikali na kufifisha ndoto zao za kuibui hoja kinzani kuifanya serikali iendane na matakwa ya wananchi.

Ninapomtafuta Dr.Rwaitama naombeni mnisaidie kuwatafuta na wasomi wengine tujue walipopotelea maana tunahitaji mashauri Yao.......
Wasomi wengi wa Tanzania hawajiamini.Kama wewe una elimu nzuri hunasababu ya kujipendekeza name Serikali.Kazi ziko tele nchi nyingi.Ila kama elimu yako no yakina Bashite lazima ujipendekeze.
 
Nikimkumbuka huyu mzee nakumbuka pia wasomi wengi waliokuwa wanaikosoa serikali pale ilipokuwa inakosea.Ukosoaji ulikuwa kupitia midahalo mbalimbali pamoja na vipindi vya redio na Televisheni lakini Leo hii wote wapo kimya.

Kupitia midahalo na makongamano hayo tuliwafahamu akina pro.Kabudi, Dr.Bana, Dr.Bashiru, Pr.Baregu na wengineo ambapo ukosoaji wao uliwaleta majukwaani akina Mtatiro, Mkumbo,Polepole,Mnyika,Nasarry nk wakiiga yale mazuri yaliyofanywa na wazee hao kwa manufaa ya Taifa.

Kwa Sasa makundi ya wazee na vijana kwa pamoja yapo kimya si majukwaani tu bali hata kwenye vyombo vya habari na wengi wao wamejiunga katika serikali na kufifisha ndoto zao za kuibui hoja kinzani kuifanya serikali iendane na matakwa ya wananchi.

Ninapomtafuta Dr.Rwaitama naombeni mnisaidie kuwatafuta na wasomi wengine tujue walipopotelea maana tunahitaji mashauri Yao.......

Mfumo na Awamu ' vimempoteza ' kimoja hasa Kifikra na Kimtizamo. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Back
Top Bottom