daaah ni zamani sana sijamsikia huyu wakili maarufu kabisa,bwa. Masumbuko lamwai,amepotelea wapi bana,manake alikua ni wakili mkali kwelikweli,alieweza kutumia weledi wake wa hali ya juu kabisa,kuwaumbua vigogo wakubwa wakubwa,akina kihiyo etc.yupo hai lakini au mi ndo sina habari ya amepotelea wapi????:gossip::gossip: