Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,904
- 1,363
Huko mahakamani sawa alijukana lakini mitaani alifahamika zaidi wakati wa harakati za kugombea udiwani wa Manzese. Nakumbuka kijana mmoja wa manzese alikuwa na kesi ya kubambikiwa na polisi, Lamwai alipolijua hilo wakati wa kampeni alilivalia njuga na kuhakikisha kesi ile inafutwa - na hapo ndipo vijana wengi walipomuona kuwamkombozi wao.Mbona Lamwai amekuwa maarufu hata kabla ajachaguliwa Diwani wa Manzese, Kwenye Corridor za Mahakama za Tanzania jina lake si Dogo, Ni Mwalimu mzuri wa Sheria, kwamba UKIMWI unamtaiti, sina uhakika sana na hilo, mara nyingi nimetokea kufanya naye kazi kwa karibu sijaona tofauti ya Afya yake. Naona yuko fit.Kila mtu anahitaji kuombewa aliye na ........., na asiye na .............., unless kama mtu ameamua kuwa Towashi , vinginevyo huwezi kujua kesho yako.