AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
yuko nyumbani kwake anaumwa ukimwi
ticha wangu huyu acha kumuua;;,sijui kuhusu ukimwi ila najua kuwa ni dean of students tudarco
yuko nyumbani kwake anaumwa ukimwi
Hivi huyu traitor yuko wapi? (Masumbukuo wa Lamwaii) bado anajishugilisha na siasa?
fafanua mkuu, traitor kwa namna gani?
bwana mdogo wee uko dunia gani?
ticha wangu huyu acha kumuua;;,sijui kuhusu ukimwi ila najua kuwa ni dean of students tudarco
Hivi huyu traitor yuko wapi? (Masumbukuo wa Lamwaii) bado anajishugilisha na siasa?
huyu sio traitor ni intelectual na tunamuamini
Hata hao anaowatumikia kwa sasa( CCMm) hawamwamini, Wanaharakati wa enzi zile walimuaamini sana lakini alikuja kuwapiga super changa la macho... hivyo na wewe endelea kumuaamini tuuu utauona mwisho wake
Masumbuko anasumbuka mitaani CCM wamemtelekeza baada ya kumtoa upinzni!!!Wana JF
Nimemkumbuka aliyekuwa mpiganaji mzuri Dr Lamwai lakini akachakachuliwa na chama cha mafidi CCM. Hivi huyu yupo wapi siku hizi.
Huyu hata kwao hawezi kwenda pale ujiji kaacha kila kitu na vi canter vyake vimepakiukipita unaenda zako Airport ya Kigoma unaambiwa pale nipa DR Kabaroho!!Kweli mkuu umenifanya na mimi nimkumbuke Walid Kabourou... maamuzi mabovu huwa na mwisho mbaya!!! :hatari: