Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Wana Yanga wenzangu tuwe positive na timu yetu ktk mechi ya Jana Mana kila mmoja naamini aliona kiwango kikubwa kilichoonyeshwa na wachezaji wetu + waamuzi kumnyima Mayele nafasi ya kufunga goli halali kabisa. Ila kiukweli huwa naumia sana kuona tunanyimwa nafasi ya vile halafu Simba wanapewa nafasi zisizo halali yao kama penati ya juzi
 
Wana Yanga wenzangu tuwe positive na timu yetu ktk mechi ya Jana Mana kila mmoja naamini aliona kiwango kikubwa kilichoonyeshwa na wachezaji wetu + waamuzi kumnyima Mayele nafasi ya kufunga goli halali kabisa. Ila kiukweli huwa naumia sana kuona tunanyimwa nafasi ya vile halafu Simba wanapewa nafasi zisizo halali yao kama penati ya juzi
Ni kweli ndugu yangu jana walitunyima nafasi ya wazi kabisa hilo halipingiki, ila bana na sisi inatupasa tutengeneze nafasi nyingi zaidi na zaidi ili hata kama imetokea tumeminywa sehemu basi zile nyingine zikave ili tupate matokeo.

Sababu waamuzi wa hapa Tz akili zao wanazijuaga wenyewe na hii yote ni ile kwamba game ikiisha imeisha hivyo hata akifungiwa matokeo yanabakia yale yale na hayaezi badilika huku yeye ameshatimiza adhma yake.
 
Wana Yanga wenzangu tuwe positive na timu yetu ktk mechi ya Jana Mana kila mmoja naamini aliona kiwango kikubwa kilichoonyeshwa na wachezaji wetu + waamuzi kumnyima Mayele nafasi ya kufunga goli halali kabisa. Ila kiukweli huwa naumia sana kuona tunanyimwa nafasi ya vile halafu Simba wanapewa nafasi zisizo halali yao kama penati ya juzi
Yakitokea hayo hawasemi GSM. Ila ngoja Yanga ishinde au wapigwe
 
Wana Yanga wenzangu tuwe positive na timu yetu ktk mechi ya Jana Mana kila mmoja naamini aliona kiwango kikubwa kilichoonyeshwa na wachezaji wetu + waamuzi kumnyima Mayele nafasi ya kufunga goli halali kabisa. Ila kiukweli huwa naumia sana kuona tunanyimwa nafasi ya vile halafu Simba wanapewa nafasi zisizo halali yao kama penati ya juzi
Kuna matukio kadhaa ambayo marefarii wameshindwa kuyatafsiri. Offside mbili za uongo, faulo mbili za wazi ndani ya 18 kapeta. Kuna mpira Mayele alikuwa kwenye nafasi nzuri ya kufanya maamuzi lakini baada ya kuacha advantage kwa yanga anapuliza filimbi faulo, mchezaji wa Yanga kachezewa.

Ukiachana na makosa ya waamuzi, ile mechi tumeshindwa wenyewe kwa selection mbovu ya wachezaji na approach mbovu ya mwalimu. Kulikuwa na mapungufu ya Djuma Shabani pekee kwenye kikosi chetu cha kwanza, kulikuwa hakuna haja ya kumtoa Bangala kwenye kiungo na nafasi achukue Mauya. Mauya ni mpotezaji mkubwa wa mipira. Kwa Mauya, Brayson ndio ilikuwa sehemu tuliokuwa na madhaifu, Farid Musa naye kazingua ila alivyoingia Feisali kaziba mashimo ya Farid Musa. Feisal angeanza kipindi cha kwanza pia. Mechi ilikuwa nyepesi tu ila tuifanya ikawa na ugumu wenyewe
 
20220207_191551.jpg
 
Back
Top Bottom